Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Hongera saana Prof. J na umefanya uamuzi wa busara saaaana kwa mustakabali wa taifa hili.
 
Dogo j usingoje upigiwe sasa umebeep songea mjini sisi tunakupigia njoo haraka uje uchukue jimbo,jimbo halina mgombea mwenyewe dogo support unayo kubwa hapa nyumbani songea usiwe na shaka njoo uchukue jimbo lako haraka.
 
karibu sana Pro.J kwenye harakati za mtu mweusi kujikomboa toka kwenye mikono ya weusi wenzetuu...pipoooooooooooooz
 
nani kakwambia kwamba kinondoni tunataka wanamziki watuongoze usitukosee heshima aenge huko na utoto wake kinondoni tunataka watu makini siyo kichwa kama cha j.
haaa mkuu hebu tuambie, huyo mbunge wenu makini wa kinondoni anaitwa nani? Tafadhali jibu!
 
nani kakwambia kwamba kinondoni tunataka wanamziki watuongoze usitukosee heshima aenge huko na utoto wake kinondoni tunataka watu makini siyo kichwa kama cha j.

wana kino wameipokea kwa furaha sana hii habari....cheki ma-guest hao

There are currently 2197 users browsing this thread. (112 members and 2085 guests)
 
ubunge huo kiulaini,hivi kamekuwa kamchezo siku hizi ukichuja kimuziki unagombea ubunge,hakika jimbo atakalo gombea lazima apate kwa jinsi anavyopendwa na watu wake
 
...basi mi ndo mkombozi wenu jama NDIO MZEE! na hatam tutaishika okay NDIO MZEE!
Karibu kwenye harakati!
 
kula moja haiwezi kubadili matokeo.
kura ya mgombea lazima ianze na moja mkuu, unakumbuka magamba walichakachua jimbo shinyanga town, na kumzidi mgombea wa cdm kwa kura moja?. Subiri 2015 nchimbi hana chake pale, hata maccm wenyewe wamemchoka!
 
Wow!....every step of success in the second liberation has to be appreciated. Tumeteswa sana na Magamba; watu waliojawa kiburi na majivuno...
 
kura ya mgombea lazima ianze na moja mkuu, unakumbuka magamba walichakachua jimbo shinyanga town, na kumzidi mgombea wa cdm kwa kura moja?. Subiri 2015 nchimbi hana chake pale, hata maccm wenyewe wamemchoka!

Pasipokuwaelimisha watu wapige kura na kuzilinda hawa jamaa wataendelea na mchezo huo huo...mwizi haachi kuiba mpaka....
 
sasa wana ruvuma tumempata kamanda wetu atekayekuwa anapeperusha bendera ya M4C kwa punchlines za kufa mtu.nchimbi na komba jipangeni sawasawa.
mkuu pamoja sana, songea mjini 2015 hatutaki nchimbi mlanguzi wa majimbo, safari hii labda akajibu mbinga magharibi!
 
kwan prof jay kwa sasa ana uwezo wa kutunga nyimbo tena? amefilisika kwenye fani na sasa anakimbilia siasa baada ya kusikiliza upuuzi wa akina sugu

unamzungumzia yule professor jay aliyeimba na lady jay dee ile nyimbo ya joto hacra? Basi we utakuwa ruge mutahaba
 
du kama umekua mwanachama wa chadema ni sawa kwani kila mtu ana maamuzi ya ke na tuna pasa kuya eshimu maamuzi yako ila kama una mpango wa kugombea ubunge ilo sio zambi ila ina takiwa sana ujifikilie mara 100 kwani wewe joseph haule nina amini sana utakuja kugombea songea kama alivyo fanya sugu kugombea kwao ila nakutaazalisha jambo maja...songea huwa mtu asie isi hapo hawawezi kukuchgua .sasa nibora uwe mwana chamatu .....
yasije kukukuta yaliyo mkuta MWAIKI.
ILA chama ulicho ingia umepotea kwa maoni yangu nibora unglikua CCM Kwani ungeli pata exposure ya kutosha hasa kimmziki .wao ndio washika dau na ndio wenye selikari sasa kuingia kuko ulipo sasa utazidi kupotea kabisa katika anga la muziki .na mtazidi sana kusingizia clouds fm.
tusije kusia sasa profesa j.anaimba taarabu kwa kupotea kimuziki .

SAHANI UNAYO TARAJIA KULA IMESHA TOBOKA....BADILISHA HARAKA KABLA HUJA SAMBAA MCHUZI MIKONI MWAKO
 
Karibu sana chadema, nimatumaini yangu umejiunga na Chadema kwaajili ya mapambano na siyo kufuata vyeo.... Kwa kuwa umekubali kuwa kwenye kundi hili ni vyema ujipange kukumbana na vikwazo vingi tu hivyo nilazima uwe mpiganaji ndio maana wanachadema wanaitwa makamanda!
 
Dogo j usingoje upigiwe sasa umebeep songea mjini sisi tunakupigia njoo haraka uje uchukue jimbo,jimbo halina mgombea mwenyewe dogo support unayo kubwa hapa nyumbani songea usiwe na shaka njoo uchukue jimbo lako haraka.
mkuu pamoja, j lazima auchukue ubunge 2015 na si mlanguzi wa majimbo nchimbi!
 
mkuu tunahitaji kichwa chake na si pesa yake, we are after his brain and not otherwise!

mkuu umesahau kamchezo kao maccm ni pesa ndio washiriki harakati za chama hata huyo GeniusBrain anajua kinachomsukuma kutoa ushabiki badala ya kujadili hoja ya msingi iliyopo
 
Back
Top Bottom