Well! huyu ni kiungo mchezeshaji, atasaidia sana nyakati hizi tunapoelekea kipindi cha lala salama. Nashauri angekuwa attached na viongozi wa Kanda ya Nyanda za juu kusini ili kutoa elimu kwa watu wa maeneo ya huko hasa mkoa wa Ruvuma. Ingawa wananchi wa mkoa wa Ruvuma wanatamani sana mabadiliko, uhamasishaji wa mkoa wa Ruvuma bado haujaridhisha na kasi ni ndogo sana! Welcome dude!