RICARDO KAKA
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 865
- 338
ni siku ambayo nilikuwa naisubiria kwa hamu sana!
VIVA PROF.J! VIVA PROF. J!
VIVA PROF.J! VIVA PROF. J!
acha kupanick dog mvua trouser kwenye steji unamfananisha na prof j.
Huyu alikuwa ameisha jiishia zamani, hana tena Dili ndani ya muziki wa bongo fleva, alikuwa hana option zaidi ya hiyo , ili kujiliwaza kwani hata ndani ya medani ya muziki wa kizazi kipya hayumo tena , wakina Diamond wameisha mmaliza na kufanya jina lake lisahaulike. Kwa heri, kwa heri baba, kila wafu huzika wafu wenzao.
Huyu bwabwa hafai,mwache akaashikwe MASABURI HUKO HUKO!Kesho Nape atamshawishi huyu naye atangaze kujiunga Lumumba street
prof jay hata songea hajawahi kufika. kura atampa nani?
DADA WEMA KWANI BADO UNAMPENDA DIAMOND coz nimegunduwa wewe ndiye unaye mpenda hivyo ,
Huyu alikuwa ameisha jiishia zamani, hana tena Dili ndani ya muziki wa bongo fleva, alikuwa hana option zaidi ya hiyo , ili kujiliwaza kwani hata ndani ya medani ya muziki wa kizazi kipya hayumo tena , wakina Diamond wameisha mmaliza na kufanya jina lake lisahaulike. Kwa heri, kwa heri baba, kila wafu huzika wafu wenzao.
Hapo Prof Jay anamwambia Jk "aikemee serikali yake katika madudu inayoyafanya".
Lakini Jk alidhani masihara, ikabidi Jay ahamie kwa watu wanaotaka ukombozi wa kweli.
CC: Mohamedi Mtoi, Molemo, Crashwise, Bujibuji, Ben Saanane, Ndibalema
Huyo jama ana matatizo anatoka CCm anahamia CCM -B, hana jipya Mu-CUF huyo!Tunamsubiri komandoo binti machozi, afande sele na mpoto. Yaani hapo magamba wanazidi kupagawa. Watakoma 2015.
Hapo Prof Jay anamwambia Jk "aikemee serikali yake katika madudu inayoyafanya".
Lakini Jk alidhani masihara, ikabidi Jay ahamie kwa watu wanaotaka ukombozi wa kweli.
CC: Mohamedi Mtoi, Molemo, Crashwise, Bujibuji, Ben Saanane, Ndibalema
hamna kitu bangi tuu zinaongezeka angekuwa diamond ingeluwa mstuko
Msanii maarufu wa bongo flava Joseph Haule aka Proffesor Jay, leo hii amejiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kukabidhiwa kadi yake ya uanachama mjini Dodoma.
View attachment 94612 View attachment 94613
Nchimbi sasa tumbo joto....Karibu nyumbani kwako SONGEA uchukue Jimbo kaka.JIMBO LAKO LINAKUSUBIRI.