Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

hahahaaaaa. huyu si ndo msanii alituahidi mabomba kutoa maziwa nchi nzima badala ya maji? hebu tuwekeeni ule wimbo wa ndiypo mzee na ule wa siyo mzee
 
kwa hiyo j anaamini kuwa nayeye ni miongoni mwa watu wanojua siasa kazi anafikili kuwa na mwili wa kutikisika ndiyo kujua siasa.
 
Tunampongeza sana prof. JAY, nadhani 2015 agombee songea mjini, lazima tumpe ubunge! Tumechoka na walaghai kina nchimbi!

weee songea mjini acha tu. pale pana wenyewe, muulize mbogoro jinsi alivyofurukuta bila ya mafanikio. labda akagombee mbeya mjini
 

msanii wa bongo fleva mwenye mvuto na kupendwa na watu wote ni diamond, wengine hakuna kitu kwa sasa. Na yeye ndiye anaye ongoza kwa kipato ndani ya bongo fleva. Prof. Jay hakuna kitu tena, ni oil chafu hiyo mkuu

pumba 100%....kama kubana pua na kukata viuno ndiyo mtaji katika mapinduzi ya kisiasa na kiuchumi,okay diamond is the next president!
 
Binafsi naamin Chadema inazidi kuimalika kila leo huku CCM ikizidi kudoda kwa kila sekunde!
 
Lakini anajua kama kambi aliyoingia kuna KUFA,KUFUNGWA au KUPOTEA TU DUNIANI BILA MAELEZO?Je,anakubaliana na kulala selo kusiko na idadi mpaka Ukombozi ukikamilika?
 
kamandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! ANKO J PIGAA MAKOFIIIIIIIII..... MASUDI MASUDI PGA MAKOFIIIIII....SIMPLE X PIGA MAKOFIIII TAFADHALIIIIIIII....HII NI FANII ILIYO MUHIMU TUCHEZE KWA KUTAMBAAAA LAKINI KAA MBALI CHEZA MBALI NA WATOTO WANAOPENDA KUJIGAMBAAAA

Nimeipenda hii mkuu kitambo kile aisee. Mzee wa NDIYO MZEE, SIYO MZEE mpaka NANG'ATUKA sijui itakuwaje akiingia katika majukwaa ya siasa.
 
kila mtu ananafasi yake ndani ya jamii yetu,enzi za sugu alikuwa na ujumbe mzuri sana kama ulikuwa mfatiliaji wa mzuki wake toka 2proud,Mr2,hadi sugu ilikuwa ni ujumbe tu mwanzo mwisho na huko aliko ni sahihi kabisa kwa harakati zake za kutetea watanzania wote bila kujali itikadi zao,unakumbuka enzi za nyimbo niko mikononi mwa police? ama ana miaka chini ya 18? na jay nae alikuwa na nyimbo zake za ndio mzee zikiwa zinaongelea ahadi hewa za wanasiasa wetu, kwa hyo leo kujiunga na cdm ni hatua moja kubwa sana na huyu ni mkazi wa kimara jimbo la mh jj mnyika
 
Jamani tunaomba pro chadema na wapenda mabadiliko katika taifa letu wamshawishi na Roma Mkatoliki ajiunge rasmi na makamanda, itakuwa imetulia sana, hatutakuwa na haja ya kuyakodi kina diamond kama maccm yafanyavyo!
 
Karibu kwenye mapambano!! Wewe ni mfano wa kuigwa na wasanii wengine
 
pumba 100%....kama kubana pua na kukata viuno ndiyo mtaji katika mapinduzi ya kisiasa na kiuchumi,okay diamond is the next president!

mwambie huyo mkuu sijui anaeleza kuhusu hao vijana Mchele mchele
 
hongera prof Jay karibu mkuu uwe miongoni mwa walioleta ukombozi katika kipindi hiki cha mkoloni mweusi
 
Naamini kabisa anayajua hayo kwani ni mtu wa karibu sana na sugu japo kulikuwa na mikwaruzo ya hapa na pale na kufikia hatua hii watakuwa washatatua matatizo yao na sasa yupo tayari kuijenga nchi kutoka mzizi na shina tofauti na tuliolizoea ambalo siku zote linadondosha matunda yale yale
 
Back
Top Bottom