the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,929
Karibu ndg kwenye mapambano hakika huku mapambano yanaendelea ndg!
nataka kudhamini pambano la nani zaidi kati ya makundi haya.
prof j.sugu,jide na roma.
dhidi ya vick kamata,komba,nakaaya na dokii.
Kama unajua jinsi ya kutafuta hela bila kuitegemea CCM karibu sana CHADEMA,ila kama wewe ni kilaza na huwezi kujituma kaa huko huko CCM!
Huyu ni jembe kushinda hata Joseph Mbirinyi. Alitakiwa achukue nafasi ya Sugu.
lakini twende turudi hivi j uwezo wake wa akili kujenga hoja upoje make kama utakuwa kama wa sungu itakuwa ni kituko hasa kwenye vikao itakuwa ni vituko tu nadhani atakuwa naibu waziri kivuli wa michezo wa chadema.
weee usinichekeshe..eti diamond mvua nguo anapendwa na watu wote...Prof..ndo all time best musiciaN ukimcompare na Diamond mchonga skendo
Msanii wa bongo fleva mwenye mvuto na kupendwa na watu wote ni Diamond, wengine hakuna kitu kwa sasa. Na yeye ndiye anaye ongoza kwa kipato ndani ya bongo fleva. Prof. Jay hakuna kitu tena, ni oil chafu hiyo mkuu
wangelikuomba ushauri kwa hiyo ungeliwambia wamchukue daimondo kuwafundisha vijana uzinifu kama wanavyomtumia magamba?CHADEMA mnazidi kuongeza majanga; Joseph Haule hana tofauti na Joseph Mbilinyi kwa mipasho isiyokuwa na hekima
Hilo haliwezi tokea na kama ikitokea yatakuwa makosa makubwa mno, wasiwasi wangu ni kuona chama cha upinzani kikiwa na idadi kubwa ya wasomi wa level ya form ambao kiuhakika hawawezi kuiwakilisha vizuri nchi yetu hasa katika mambo ya msingi hasa kusaini mikataba mbalimbali otherwise watakuwa wapigadomo tu ila katika utendaji wataboronga.