Jamani acheni wivu kwani kuwa na namba za muda Texas ndio haliwezi kuwa lake na kwa msiojua SL500 si chini ya US$ 50,000
Kaka hiyo sio SL500, hii ni coupe ya C -class, might be an old CLK, Mercedez dont make these round eyes anymore!
Jamani acheni wivu kwani kuwa na namba za muda Texas ndio haliwezi kuwa lake na kwa msiojua SL500 si chini ya US$ 50,000
El Toro samahani kwa hili lakini kuna baadhi ya information ukiwa unazileta inabidi uwe unazifanyia uchunguzi kwanza. Wabongo tunapenda kujikweza sana hiyo gari siyo ya Diamond bali hiyo gari na hiyo nyumba inayoonekana alipewa kwa ajili ya kufanyia shooting tu ya wimbo wake wa Mawazo ambapo producer wa video hiyo ambaye anaitwa Adam wa Visual Lab ndio alisaidia upatikanaji wa location tusiwe tunapenda kudanganya kwanini tusiishi maisha yetu ya kawaida tu.
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
Jaffarai huyu huyu aliekuwa analelewa na Shyrose Banji? u must be joking!Hakuna msanii mwenye uwezo wa kununua gari kama hii hapa Tanzania labda Jaffarai
Hii picha ni upuuzi mtupu! Tuletee na picha ya nyumba anayoishi.[/QUOTE
Tandale kwa Mtogole,
Jamani acheni wivu kwani kuwa na namba za muda Texas ndio haliwezi kuwa lake na kwa msiojua SL500 si chini ya US$ 50,000
Siwezi kumuonea wivu Diamond
Hii nyumba ni ya Mr and Mrs Mziray - yani Cynthia Masasi na Richard Mziray, waliokuwa wanaishi Texas miaka michache iliyopita. Wamerudi nyumbani baada ya kujenga nyumba yao ya kisasa mbezi beach, na wana magari kama matano ya kifahari. Ni vijana wenye mafanikio sana. Diamond alienda tu pale na wapambe wa Richard Mziray kuchukua video clips kwa ajili ya video yake mpya.
Gari ya Richard Mziray hiyo, katoka nayo huku Texas, America.. Diamond aliomba kufanyia video tu.
tusidanganyane bwana huyo hapo ameweka pozi tu..! uwezo huo hana..! labda uwezo wa kutongoza vijibinti vya kizushi tu hapa mjini..!
mwambie ajifunze kwa A-Y.. na wakina JIDE..! watu wenye mawazo ya mbali na wenye future perspective katika mipango yao..! eboooooooooo..!