Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
Hilo gari co la daimond bali la washkaji flan hv wametoka marekani hz benz zipo kama 5 hv mjini zina plet number imeandikwa rich texas daily hao washkaji wanawekaga mafuta sheli ya engen hapa mikocheni so asiwadanganye watu ni lake.
Jamani acheni wivu kwani kuwa na namba za muda Texas ndio haliwezi kuwa lake na kwa msiojua SL500 si chini ya US$ 50,000
Huenda vya kukodi
Jamani acheni wivu kwani kuwa na namba za muda Texas ndio haliwezi kuwa lake na kwa msiojua SL500 si chini ya US$ 50,000
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
Nilisoma katika gazeti amewekwa ndani miezi sita. What happenned?
Mkuu Ganesh kwema....inawezekana ni ile ya kumpiga mwandishi wa habari...
Mimi nimevutiwa zaidi na hilo jumba lake la kifahari ambalo liko nyuma ya gari, kweli mziki wa Bongo fleva unalipa.
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
arifu huu mchuma si wa dayamondi.....wa mchizi mmoja kadondoka toka majuu.....mara kibao namuona huyo mchizi anakruzi kitaa na shori wake....labda kama kamuuzia
Nani kasema wasanii wa bongo hawana maendeleo, check mchuma mpya wa DIAMOND..
Ndio maana sio ajabu siku hizi kusikia hawa watoto wanashikishwa ukuta, tamaa za kijinga kabisa hizi, kama uwezo wako ni kumiliki Starlert huo ndio uwezo wako thats it!Hana kitu benz la kuazima