Hivi naJF naomba kuuliza kweli hivi kuna masters inyotolewa kwa 7 months kwa mtu aliyesoma Advance Diploma au First Degree? Kuna msanii mmoja maarufu hapa bongo kaenda kiwanja kusoma masters na sasa kamaliza within 7 months?
I doubt kwa mtaji huu ile mamlaka ya kusimamia viwango vya elimu ya juu yaani TCU wana changamoto kubwa!
Mkuu ni kweli Magufuli anasoma UD ana vituko balaa. Mimi nimeshamkuta akipiga stori na madenti, anavituko sana. Hutaamini ni yeye waliyemtelekeza na samaki wake
Hujaeleweka mkuu inaonekana we mwenyewe masuala ya elimu upo nyumaunaruka maswali sababu unajua unasema uongo?
una uhakika na ulichoandika hapa kuwa mzee wa bado nipo nipo kamaliza kufanya hiyo masters?ama suala limebadilika sasa kuwa masters ni mwaka mmoja?
hata hivyo hujui kitu kuhusu elimu inaonekana.
kweli miafrika ndivyo tulivyo
Hujaeleweka mkuu inaonekana we mwenyewe masuala ya elimu upo nyuma