1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
Bibiee mtunza pesa, Mzee baba pesa haikai mkononi,,Ndo rule ya dunia 😃 ila ule mzigo aisee pale ukishindwa kutulia lazma Mungu akushughulikie 😃
Bibiee mtunza pesa, Mzee baba pesa haikai mkononi,,Ndo rule ya dunia 😃 ila ule mzigo aisee pale ukishindwa kutulia lazma Mungu akushughulikie 😃
HahaMie sio mwimba mashairi mpaka nikumbuke, nakumbuka kuna wbo mmoja alikuwa akiimba , wengine hatupo huko sana , mpaka tugongane nazo wakati tunapita
Acha kabisa, wanawake wanatuvumilia sana, sisi wazee wa kutoa pesa,, kama mwanamke sio bahili hali ni tete,Kuna picha moja ya Kaka ilisambaa kipindi fulani alikuwa yupo hoi kinyama! Pombe zilimchakaza hatari! Labda wahuni walimsaidia kazi 😃
Yupo wapi!? Kwamba Marlaw ndio sehemu alipo? Kiswahili kigumu sana?!!
Ndoa zina mambo mengi sanaTena yamekuwa hayo?
Lazima uwe na Leseni E 😂Ama kuendesha engine V12 Turbo ilikuwa ni kazi?
Tid - Marlaw alikuja Dodoma hana hata hela ya kupanga chumba .Inaonekana alipigwa na kitu kizito na kigumu mnoo utosini huko ndoani.Pia anakula sana pombe.Kwani si aliolewa na Marlaw huyu au waliachana?
Achaaa ..alikua ananikosha sana huyu..alikua anacheza kama shakiraUna maana kwamba hili shape lilikuwa linatupatia wakati mgumu vijana 😃 😀 😄
View attachment 3439376
ila jamaa alikuwa Anajua sana
Shape ilikuwa ni namba 8 kweliDah huu uzi umenikumbusha mbali sana. Umenikumbusha kipindi Channel 5 (EATV) ndiyo ilikuwa stesheni ya kibabe kwa burudani, kipindi hicho pia nilikuwa naamini huyu binti ni Mganda.
Kuhusu wapi alipo kwa sasa naamini watu watatupa majibu.
unaonekana unapenda Sampuli za minyama 😂Shape ilikuwa ni namba 8 kweli