Msamaha na Kisasi

Msamaha na Kisasi

Naomba nieleweke kwamba lengo la kisasi ni kuleta uwiano na sio kuleta furaha kwa sababu unaweza kulipa kisasi usipate furaha wala hayo majuto ila kukawa na uwiano wa matukio kwamba alifanyia hivi na mimi nimemfanyia hivi. inabaki hivyo

frequency ya majuto ya ke yatakuwa tofauti na me kwa sababu, huyu ke alikuwa anajaribu kuleta uwiano ambapo alikuwa na option ya kutokufanya hivyo kwahy anapofanya hivyo af ikamuathiri ndo safari ya majuto.
Upande wa huyu me sasa amecheat without any influence yaani kafanya kwa hiari yake kwahy inategemeana
Sawa sawa mkuu asante kwa maoni karibu tena
 
Ila mkuu hakuna kitu kibaya kama kumfanyia ubaya mtu asiye na hatia,kisasi chake kinalipwa na nguvu nyingine kabisa ambayo engine wanasema Mungu.
Kwa hiyo sisi kisasi chetu lazima kitimie japo hatukifanyi sisi.
Ni kweli wakati mwingine mambo hua yanajiendesha yenyewe
 
Mtu aliyekuumiza au kujeruhi kihisia, kiakili au kimwili anaweza kufanya hivyo kwa sababu mbili. Moja kutojua. kwa makusudi-nia, ufundi na maarifa. Mbili kwa kutojua. Kutokuwa makini. Yote mawili hatahivyo hayakuondolei wajibu.
Hayakuondolei wajibu upi?
 
Nilitaka tu kuongezea kwamba kisasi kinategemea mazingira au aina ya mwonezi.
Kusamehe/kumwachia Mungu huku ni Bora kwa sababu hakubagui
Kwa mantiki hiyo upo sahihi ila kama adui una mmudu usimuachie Mungu😎

Mbona awamu ya sita hamtaki kumuachia Mungu mnajaribu kila mbinu?
 
Back
Top Bottom