Nchimbi aliposema “pambanieni Katiba Mpya” alimaanisha. Mazafakas wa CCM hawana mpango wowote wa Katiba Mpya. Bila umma kuamua kutumia nguvu yake ipasavyo, Katiba Mpya itabaki kuwa ndoto!Eti hakuna haja ya katiba nyingine
Eti hakuna haja ya katiba nyingine
Utaonaje ubaya wake wakati ww ni mfaidiki wa katiba hii?Ukweli ni nini?Hadi leo sijaona kwa jicho la mwananchi wa kawaida ubaya wa katiba hii.
Kwani wewe hijafaidika na katiba hii?hadi leo unao uwezo wa kupost hapa unadhani katiba hii sio njema kwako?Utaonaje ubaya wake wakati ww ni mfaidiki wa katiba hii?
Hah hah kuwa nje ya mfumo ni tabu ukiona hivyo anataka arudi kwenye kulamba buyu la asali kupitia kwa mgogo mwenzake, anajua kuna mkeka utatembea na mgogo mwenzake atapewa nafasi ya kupendekeza watakaomsaidia kwa hiyo lazima aanza kujikomba.Eti hakuna haja ya katiba nyingine
Kwa taarifa yako hata kwenye nchi zenye vita watu wanapost. Usichanganye kupost na katiba nzuri.Kwani wewe hijafaidika na katiba hii?hadi leo unao uwezo wa kupost hapa unadhani katiba hii sio njema kwako?
kama ni hivyo hizo nchi zina madai ya katiba mpya?Kwa taarifa yako hata kwenye nchi zenye vita watu wanapost. Usichanganye kupost na katiba nzuri.
Unapoteza hekima yako mkuu, bora ingia porini kawahubiri nguruwe pori watakuelewa ila siyo sisi Wadanganyika.Kama katiba iko sawa, nijibu
Nani anamwajibisha mwenye madaraka?
Nani anaweza kuchunguza bila kuingiliwa?
Nani anaweza kusema “hapana” bila kuogopa madhara?
Na mwananchi ana njia gani ya kupata haki pale taasisi za dola zinapomkosea?
Hapo ndipo udhaifu wa mfumo unapojitokeza.
Kwa hiyo, kusema Katiba “ina uwezo wa kumnyoosha yeyote” bila kuangalia uhuru wa taasisi, mgawanyo wa madaraka, uwajibikaji wa viongozi na uwezo wa wananchi kutumia haki zao kikatiba ni kuangalia maandishi ya Katiba bila kuangalia mfumo unaotekeleza maandishi hayo.
Katiba nzuri si ile yenye vifungu vingi vya kuzuia matumizi mabaya ya madaraka tu; Katiba yenye nguvu ni ile ambayo hata mwenye madaraka makubwa hawezi kujiweka juu ya sheria.
Ndiyo maana mjadala wa Katiba Tanzania haupaswi kuishia kwenye Katiba yetu inasema nini? Bali uende kwenye swali muhimu zaidi,
nani ana uwezo wa kumlazimisha mwenye madaraka kuitii Katiba pale anapoivunja?.
Hapo ndipo nguvu halisi ya Katiba inapopimwa.
Kwamba ni copy & paste sababu za vita/machafuko?kama ni hivyo hizo nchi zina madai ya katiba mpya?
Kwa hiyo waliomo humu siyo wananchi wa kawaida? Sema nini wewe piga zako hizo buku7 tu.Ukweli ni nini?Hadi leo sijaona kwa jicho la mwananchi wa kawaida ubaya wa katiba hii.
Nyerere mwenyewe alisema inatatizo, wewe chawa na mama yako mwasema haina tatizo.Ukweli ni nini?Hadi leo sijaona kwa jicho la mwananchi wa kawaida ubaya wa katiba hii.
Wapigwa miti tunajua mnanufaika kupitia kuhongwa na wanaowapiga mitiUkweli ni nini?Hadi leo sijaona kwa jicho la mwananchi wa kawaida ubaya wa katiba hii.