Msaka uteuzi chawa mwingine huyu hapa

Msaka uteuzi chawa mwingine huyu hapa

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,910
Reaction score
101,358
Eti hakuna haja ya katiba nyingine
 

Attachments

  • SAKASAKA YA UTEUZI.jpeg
    SAKASAKA YA UTEUZI.jpeg
    168 KB · Views: 6
Baada ya kuona wenzake wananeemeka kupitia mapambio. Na yeye amemua kuzihamishia akili zake zote tumboni ili arejeshwe kwenye uwaziri.
 
Hujaona kwa sababu hujaamua kufungua macho.
Macho yangu yameona uroho wa madaraka wa wanasiasa ndio driving force ya harakati hizi zisizolenga kujibu kiu ya maendeleo na ustawi wa wananchi.
 
Macho yangu yameona uroho wa madaraka wa wanasiasa ndio driving force ya harakati hizi zisizolenga kujibu kiu ya maendeleo na ustawi wa wananchi.
Tusiangalie nani ana uroho wa madaraka, bali tunawezaje kuhakikisha kwamba yeyote anayeshika madaraka hawezi kuyatumia kinyume na maslahi ya wananchi.
 
Tusiangalie nani ana uroho wa madaraka, bali tunawezaje kuhakikisha kwamba yeyote anayeshika madaraka hawezi kuyatumia kinyume na maslahi ya wananchi.
Katiba tuliyonayo ina uwezo wa kumnyoosha yoyote anayetumia madaraka vibaya na kama hisia zako zinakuongoza kuwa haiwezekani utakuwa hujaisoma kikamilifu
 
Katiba tuliyonayo ina uwezo wa kumnyoosha yoyote anayetumia madaraka vibaya na kama hisia zako zinakuongoza kuwa haiwezekani utakuwa hujaisoma kikamilifu
Kama katiba iko sawa, nijibu

Nani anamwajibisha mwenye madaraka?
Nani anaweza kuchunguza bila kuingiliwa?
Nani anaweza kusema “hapana” bila kuogopa madhara?
Na mwananchi ana njia gani ya kupata haki pale taasisi za dola zinapomkosea?

Hapo ndipo udhaifu wa mfumo unapojitokeza.

Kwa hiyo, kusema Katiba “ina uwezo wa kumnyoosha yeyote” bila kuangalia uhuru wa taasisi, mgawanyo wa madaraka, uwajibikaji wa viongozi na uwezo wa wananchi kutumia haki zao kikatiba ni kuangalia maandishi ya Katiba bila kuangalia mfumo unaotekeleza maandishi hayo.

Katiba nzuri si ile yenye vifungu vingi vya kuzuia matumizi mabaya ya madaraka tu; Katiba yenye nguvu ni ile ambayo hata mwenye madaraka makubwa hawezi kujiweka juu ya sheria.

Ndiyo maana mjadala wa Katiba Tanzania haupaswi kuishia kwenye Katiba yetu inasema nini? Bali uende kwenye swali muhimu zaidi,
nani ana uwezo wa kumlazimisha mwenye madaraka kuitii Katiba pale anapoivunja?.

Hapo ndipo nguvu halisi ya Katiba inapopimwa.
 
Kama katiba iko sawa, nijibu

Nani anamwajibisha mwenye madaraka?
Nani anaweza kuchunguza bila kuingiliwa?
Nani anaweza kusema “hapana” bila kuogopa madhara?
Na mwananchi ana njia gani ya kupata haki pale taasisi za dola zinapomkosea?

Hapo ndipo udhaifu wa mfumo unapojitokeza.

Kwa hiyo, kusema Katiba “ina uwezo wa kumnyoosha yeyote” bila kuangalia uhuru wa taasisi, mgawanyo wa madaraka, uwajibikaji wa viongozi na uwezo wa wananchi kutumia haki zao kikatiba ni kuangalia maandishi ya Katiba bila kuangalia mfumo unaotekeleza maandishi hayo.

Katiba nzuri si ile yenye vifungu vingi vya kuzuia matumizi mabaya ya madaraka tu; Katiba yenye nguvu ni ile ambayo hata mwenye madaraka makubwa hawezi kujiweka juu ya sheria.

Ndiyo maana mjadala wa Katiba Tanzania haupaswi kuishia kwenye Katiba yetu inasema nini? Bali uende kwenye swali muhimu zaidi,
nani ana uwezo wa kumlazimisha mwenye madaraka kuitii Katiba pale anapoivunja?.

Hapo ndipo nguvu halisi ya Katiba inapopimwa.
Sasa hapo una tatizo na katiba au una tatizo na watu wanaotakiwa kuitekeleza?
Narudia tena umewahi kuisoma katiba?
 
Sasa hapo una tatizo na katiba au una tatizo na watu wanaotakiwa kuitekeleza?
Narudia tena umewahi kuisoma katiba?
Jibu yale maswali.
Kama nisingekuwa naijua nisingeyajua hao.

Kama unakubali watu wanaotakiwa kuitekeleza hawaitekelezi, na wanafanya hivyo kwa kuwa wame hold power kubwa kuliko wananchi.
 
Ukweli ni nini?Hadi leo sijaona kwa jicho la mwananchi wa kawaida ubaya wa katiba hii.

Utaanzaje kuona ubaya kama wewe mwenyewe ni mbaya jinga lao?



Utawezaje kuona ubaya wa wizi kama wewe mwenyewe ni mwizi jinga lao?
 
Back
Top Bottom