Msajili awaita Lipumba na Seif

Msajili awaita Lipumba na Seif

Pendekezo langu: Mgogoro huu hata akitokea malaika hauwezi kuisha kwa sababu unalindwa na kulelewa kwa nguvu fulani. Ningemshauri Seif na wana CUF wenye nia ya kweli ya siasa za upinzani waje na plan B. Watanzania si wajinga, wanajua Prof anatafuta nini. Msikubali kubaki katika hali hii. Mkiweza amwachieni hata hiyo CUF yake na kuanzisha chama kingine kipya ambacho kitakuwa kikubwa kuliko CUF ya Prof baada ya mwezi mmoja tu. Hiyo ndiyo njia bora ya kuwaacha kwenye mataa wenye hila zao. Asikudanganye mtu, waliosuka mpango huu, wana malengo yao na wanapenda CUF iendelee kuwa katika hali hiyo mpaka uchaguzi ujao. Be smart Seif na wana CUF, mnaweza kumpa pigo jingine huyo msaliti wenu na watu wake....
Wazo zuri, lakini unadhani hao akina Mutungi watakipa usajili?
 
Anawaita kuwaambia nini wakati MSAJILI NDIE KINARA WA MGOGORO HUU? Maalim na ujumbe wako msiende, huu ni unafiki mtupu.
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Your Take is from one of a disgrace to a nation! Tangu lini watu wanaitwa kujadili Ugaidi? Mbona hatuoni hayo huko Ikwiriri na Kibiti na Mkuranga? Mungu anisamehe ila ningekuwa yeye viumbe kama Lipumba na Msajili ningeshawatumia Izirail aongee nao
 
Your Take is from one of a disgrace to a nation! Tangu lini watu wanaitwa kujadili Ugaidi? Mbona hatuoni hayo huko Ikwiriri na Kibiti na Mkuranga? Mungu anisamehe ila ningekuwa yeye viumbe kama Lipumba na Msajili ningeshawatumia Izirail aongee nao
Umeshawahi kusikia UNSC ikijadili amani ya nchi zenye utulivu au amani ya nchi zenye vita?
 
hana mpango wa kwenda huko.........habari ya mjini ,,,ni usafi wa ofisi ya kafu , kesho tarehe
27/4/17.
 
hana mpango wa kwenda huko.........habari ya mjini ,,,ni usafi wa ofisi ya kafu , kesho tarehe
27/4/17.
Ni lini ofisi hizo zilikuwa chafu?acheni bongo movie....by the way ulinzi wa polisi unafanya kazi 24/7
 
Umeshawahi kusikia UNSC ikijadili amani ya nchi zenye utulivu au amani ya nchi zenye vita?
Kujadili eeh! Ndo onesheni mfano kwa kukaa meza Moja na wale wanaouwa askari wetu kule Mkuranga mjadili! Yaani maccm kujitoa ufahamu ndio Jadi yenu! Msajili ni Tatizo, Lipumba Tatizo, hebu niambie Nani WA kutatua Tatizo hapo? Jinai ni jinai, Polisi ifanye kazi yake ipasavyo, sio gutter politics za Mutungi, he is one of the most stupid judge ever lived!
 
Seif asiende,huwezi kwenda kukutanishwa na kusuluhishwa na mtu ambaye si mwanachama wa CUF,alishafukuzwa

Na kwenye hili CUF wasipoteze focus,lengo la lipumba na msajiri ni kusema na kuaminisha jamii kwamba CUF ina mgogoro,Sasa kuna msemo wa CUF lipumba na CUF Maalim,CUF waepuke kuita CUF Lipumba,lipumba si mwana CUF kwa kuwa alishafukuzwa,

Maalim akienda kwa Msajili wa Vyama atakuwa kafanya kosa kubwa la kiufundi,CUF waachane na Lipumba,wajenge Chama chao,anachotafuta Lipumba ni kuonekana kafanikiwa kwa waliomtuma,atatafuta mazingira ya kubishana na CUF,ili jioni awaulize waliomtuma kama wamesikia alichofanya,Lipumba awe isolated,anachotafuta ni kiki ili aendelee kukaa kwenye Payroll ya waliomtuma
Ninyi ndio vilaza
 
Ni lini ofisi hizo zilikuwa chafu?acheni bongo movie....by the way ulinzi wa polisi unafanya kazi 24/7
acha na wewe kuchekesha.....watu kufanya usafi ofisi yao , inahusiana na nini?,,,,,polisi kufanya kazi saa 24/7, bro
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Kama jina lako linavyo sadiki msajili hana mamlaka ya kumfukuza mwanachama halali yoyote labda akifute chama. elimu bure sasa hivi daftari lako tu hebu kaongeze maarifa kidogo
 
Yaani Jaji Mutungi anafanya vitu kama sio msomi vile sijui kwa nini lakini.? Umekula nini wewe mzee ? Yaani unafanya mambo kama lofa kabisa wakati mtu jaji mzima?
 
Yaani Jaji Mutungi anafanya vitu kama sio msomi vile sijui kwa nini lakini.? Umekula nini wewe mzee ? Yaani unafanya mambo kama lofa kabisa wakati mtu jaji mzima?
Mkuu, anafuata maelekezo kutoka juu.
Kimsingi 'Polo-pesa' na Dokta Mihogo wangeanzisha chama chao. Nna hakika watawapata watu wao na midhali wapiga debe wao wapo sidhani kama watakwama.
 
Back
Top Bottom