jingalao: Viongozi wa CUF wapo wengi. Ni akina nani hasa wanahitajika? Maana tunajua kuwa msajili anawatambua hata kiongozi feki kama vile Lipumba, Sakaya, Kambaya, n.k. Pia kuna viongozi wa ngazi na jumuiya mbalimbali za CUF. Awe 'specific'. Kama akienda Lipumba au washirikina wenzake viongozi wa CUF halisi wamkatalie Mutungi maana muda wote Mutungi yuko tungi.