Kwa ufahamu wangu jaji ni mtu mwenye elimu,na uelewa wa hali ya juu.lakini tangu jaji huyu atumiwe na ccm kumtambua lipunguani,tena lililojitoa chamani lenyewe,ila tu alirejeshe ili lije kuua upinzani,nimemdharau,kuliko,jambazi,mwizi,au kibaka.
Jaji unakosaje aibu,utu,huruma,nakushiriki kukandamiza wapinzani,kwa kuwawekea kiongozi wa chama chao wasiyemtaka?
Unamaslahigani hapo ?ila jambo jema ni kwamba, una dini,na unamjua Jaji wa kweli,umilele wako utatanguliwa na hili zigo la dhambi,la kudhulumu haki ya watanzania walio wengi ili tu uufurahishe utawala.
Uzao wako utashuhudia matunda ya hiki upandacho.itoshe tu Seif apokee ushauri wa waliomwambia asihudhurie wito huo,kama msajili anamtambua lipunguani,inakuaje amtambue,na Seif,iliawakutanishe?huo ni uchonganishi mbaya sana,na wakiwango cha kijaji tu.kwakua ccm hawashindwi hata kumkolimba Seif, ndo sababu wanamvutia hatua kama hizi.Mungu hekima yako,naiwe ndani ya Seif asjihusishe na mitego ya jinsi hii,Amen.