mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Ndo kusema Magdalena sakaya alivyopewa ukatibu wa cuf na lipumba,mtungi haku pewa taarifa na lipumba,kama alipewa alimtambua sakaya kama katibu mkuu wa cuf au hakumtambua?.na mbona hilo mtungi hakulitolea ufafanuzi?.Lini msajili hakumtambua maalim?