Msajili awaita Lipumba na Seif

Msajili awaita Lipumba na Seif

Halafu pia Mtungi na ofisi yake wanakosa Mora authority ya kusimama katikati ya wanao hasimiana, ofisi ya Mtungi ilisha chaguwa upande wa lipumba. Niunge mwelewa kama Ange waita kipindi kile kabla ya kufuta majina ya akina mtatiro kwenye website yake. Kwa kifupi yeye ndo mgogoro wenyewe.
Ofisi ya Msajili inafuata sheria sio hisia mkuu
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Kwani kufanya siasa kunahitaji LESENI?
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Wew kama nani wa kutoa hyo hukumu
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Kwahiyo siku hizi msajili wa vyama vya siasa amekuwa police au mahakama? Wale waliofanya vurugu zile ni wahaini kama walivyo wahalifu wengine,hapo hakuna kusuruhishana ni kuwa peleka mahakamani tu.

Endapo sheria isipochukua mkondo wake hakika nasema siku sio nyingi tutarajie kuona roho za watu zikiacha miili yao.
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Afungiwe kwa sababu Refa ni wenu? Hivi haya majina huwa yanaakisi akili ya mtu?
 
Jamani hii nchi siina Maprofesa wengi mbona hawamkosoi Profesa mwenzao kwa anayoyafanya? Ama kzi yao nikukosoa Serekali tu?
 
Msajili wa vyama ni mlezi hili swala lipo kisheria zaidi maana ni jinai kabisa..uvamizi wa silaha...maalim asikubali kabisa hii ngoma ni mahakamani .... ....
 
Lipumbwa alishafukuzwa uanachama, Msajili anatakiwa alijue hilo FULL STOP!
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Nasikia huyu msajili wa vyama vya siasa ni Jaji mstaafu😀😀😀
 
Chuki zako au kuhongwa kwako hakuondoi uhalali wa Lipumba kuwa Mwenyekiti halali wa CUF.
Aliondoka kihalali na akarudi kihalali...sasa muanzisha fujo ni katibu seif kwa kuwa anakumbatia na kukumbatiwa na Chadema tena waziwazi.
mzee punguza kuvuta bangi unaweza kunywa chibuku kidogo au gongo.
 
Nadhani busara aliyefanya vurugu ashtakiwe kwanza kamanda Sirro kesha sema ile ni Jinai
 
Back
Top Bottom