Msajili awaita Lipumba na Seif

Msajili awaita Lipumba na Seif

Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Si inasemekana kuwa kuna CUF Zanzibar na CUF BARA na kwa vile Ofisi ya msajili ina ofisi ndogo Zanzibar basi Maalim aripoti Zanzibar kwa vile anatambuliwa ni kiongozi halali na Lipumba aripoti ofisi ya msajili bara kwa vile anatambuliwa huko.
 
Si inasemekana kuwa kuna CUF Zanzibar na CUF BARA na kwa vile Ofisi ya msajili ina ofisi ndogo Zanzibar basi Maalim aripoti Zanzibar kwa vile anatambuliwa ni kiongozi halali na Lipumba aripoti ofisi ya msajili bara kwa vile anatambuliwa huko.
Jabali Maalim Seif hatakiwi kuripoti popote , Mutungi ndiye adui wa kwanza wa Maalim , anamwita ili amdhuru ?
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Kweli wewe jinga lao, hivi hili jina ulibuniwa nani?
 
Si inasemekana kuwa kuna CUF Zanzibar na CUF BARA na kwa vile Ofisi ya msajili ina ofisi ndogo Zanzibar basi Maalim aripoti Zanzibar kwa vile anatambuliwa ni kiongozi halali na Lipumba aripoti ofisi ya msajili bara kwa vile anatambuliwa huko.
Kinachomleta maalim Buguruni kuja kusafisha ofisi ni kipi ilhali Zenji kuna ofisi ndogo za CUF?

Wito wa msajili kwa ajili ya mazungumzo ya suluhu ni muhimu sana...baada ya hapo mtu asianze kulilia vyombo vya habari au vya kimataifa
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Sefu hawezi kuja anajua ataambiwa aende ofisini
Kuhudhuria kwa Sefu ni kumtambua Lipumba
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Mimi sioni haja ya kuwaita kujadili vurugu zilizotokea kwani waharifu wanajulikana, msajili wa vyama asitutie watu ujinga hiyo yote ni mbinu ya kuweza kuwakutanisha ili Sef amtambue Lipumba. Yeye ndiyo chanzo cha yote haya Lipumba alishajiuzulu anawang'ang'aniza CUF wamtabue Lipumba km mwenyekiti
 
Seif asiende,huwezi kwenda kukutanishwa na kusuluhishwa na mtu ambaye si mwanachama wa CUF,alishafukuzwa

Na kwenye hili CUF wasipoteze focus,lengo la lipumba na msajiri ni kusema na kuaminisha jamii kwamba CUF ina mgogoro,Sasa kuna msemo wa CUF lipumba na CUF Maalim,CUF waepuke kuita CUF Lipumba,lipumba si mwana CUF kwa kuwa alishafukuzwa,

Maalim akienda kwa Msajili wa Vyama atakuwa kafanya kosa kubwa la kiufundi,CUF waachane na Lipumba,wajenge Chama chao,anachotafuta Lipumba ni kuonekana kafanikiwa kwa waliomtuma,atatafuta mazingira ya kubishana na CUF,ili jioni awaulize waliomtuma kama wamesikia alichofanya,Lipumba awe isolated,anachotafuta ni kiki ili aendelee kukaa kwenye Payroll ya waliomtuma
Ahsante unaona mbali huu ni mtego kwa Seif
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.

Duh, msajiri anafanya kazi ya polisi?! Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Huyu sajiri ni jaji eti....
 
Huyo msajiri ndo anachochea migogoro hiyo kwa kumbeba Lipumba. Kila mtu anajua Lipumba aliondoka CUF mwenyewe.
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.


Huyo msajili anamtambua Seif kama nani Cuf wakati alishafukuzwa? Mutungi anajua ukweli lakini amewekewa kisu kooni anashindwa kutumia taaluma yake vizuri kwa kulazimishwa na.........
 
Aliyetenda Jinai unamjua??
Wewe ni mbweha wa Lumumba uliyetumwa hapa JF kulinda maslahi mfu ya ccm. Kukuletea ushahidi wa video na mengineyo hapa ni kupoteza muda tu maana umetumwa kutetea ccm na mslahi yake regardless.
 
Pendekezo langu: Mgogoro huu hata akitokea malaika hauwezi kuisha kwa sababu unalindwa na kulelewa kwa nguvu fulani. Ningemshauri Seif na wana CUF wenye nia ya kweli ya siasa za upinzani waje na plan B. Watanzania si wajinga, wanajua Prof anatafuta nini. Msikubali kubaki katika hali hii. Mkiweza amwachieni hata hiyo CUF yake na kuanzisha chama kingine kipya ambacho kitakuwa kikubwa kuliko CUF ya Prof baada ya mwezi mmoja tu. Hiyo ndiyo njia bora ya kuwaacha kwenye mataa wenye hila zao. Asikudanganye mtu, waliosuka mpango huu, wana malengo yao na wanapenda CUF iendelee kuwa katika hali hiyo mpaka uchaguzi ujao. Be smart Seif na wana CUF, mnaweza kumpa pigo jingine huyo msaliti wenu na watu wake....
Ugumu wa hapa ni namna ya kusajili chama,kwa msajili huyu hawezi kusajili chama kipya,vilevile watakua wamemuachia Mali nyingi sana huyu Bwana yule Bora kumwaga mboga chama kifutwe wanagawana Mali wataangalia chama kidogo mlengwa wa ukawa wanajiunga nacho mwendo mdundo
 
Hivi huyo msajili lini atafikishwa mahakamani na kuhukumiwa kunyongwa anatengeneza machafuko yanayo weza kusababisha mauaji

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Gazeti la leo linaripoti kuwa ofisi ya msajili wa vyama imewaita viongozi wa CUF ili kujadili kuhusu vurugu zilizojitojeza hapo majuzi.

Viongozi hao wametakiwa kufika kwa msajili tarehe 28/4/17.

My Take:
Asiyehudhuria wito huu wa msajili afungiwe kufanya siasa.
Ningekuwa malim sefu nisingeenda.
 
Ruzuku arudishe kwanza aliyokwiba ndo mengine yafuate. Jambazi lenye suti!
 
Back
Top Bottom