IamPrince George
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 412
- 168
Halamu ndio nini wewe mama ? ndio maana mmeishia kushikwa shikwa na walevi kwa kiherehere chako.
Huna hoja kaa pembeni
Halamu ndio nini wewe mama ? ndio maana mmeishia kushikwa shikwa na walevi kwa kiherehere chako.
Ndio tunataka kuzika ufisadi na mafisadi nchi hii.
Baba magufuli bana hao kisawa sawa
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Ashakuwa Rais kwa kura halamu nini anatafuta sasa huyu jamaa?
Haki haiporeki ucheleweshwa tuu
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Hahahahahahhh! Nicheke mie unamtegemea Kubenea, Kubenea, Kubenea?? Mwenye taarifa kanjanja? wapi mwanzo wa Urichmond wa Lowasa na umwisho wake?
Eeeeh! Mungu tusaidie
Huoni walifanya makosa?
Ifike wakati tuviheshimu vyombo vyetu vya usalama,jambo la usalama linatuhusu watanzania wote likitokea tatizo litatukumba wote halitabagua huyu wa chama gani na huyu si mwanachama
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu. Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe! Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu. Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.[/QUOTE
hakili za makande!!! wale waliokuwa mlimanicity walikuwa hawana tatizo???
kwa hakili yako kama wasingekuwa wale vijana wa mlimanicity Magufuli angetangazwa?? makande kichwani sio sehemu yake
Dah nikiwakumbuka Mussa Allan na Ocampor Four, nashindwa kuacha kumlaani Mbowe na Lowassa, maskini hawa vijana walikuwa kana wamelishwa limbwata, wehu kabisa! nadhani huko waliko sasa akili zinaanza kuwarudia
Kwani kubenea ni nani kwenye hili sakata? Mnafiki huyu aliyempaka matope Lowassa halafu akaanza kumsafisha tena nani atamsikiliza?Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Kwenye maisha haya ni kipimo kwa kipimo,mtapimiwa kipimo kilekile mnachopimia wenzenu.
Kosa gani limefanywa na vijana wa Lowassa?. Kama mtu amekosea kweli kwanin hawakufuata procedures za kumkamata bali wakamteka?
Inawezekana Ulimboka nae alikua kijana wa Lowassa ndo maana na yeye alipotea kwa style kama hiyo