Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,344
- 9,845
Watakamata wangapi na rais wao wa Tanganyika?
What ever Mbowe and Lowassa are planning is taking too long,We should be breaking nuts already!
Watakamata wangapi na rais wao wa Tanganyika?
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Swadakta .Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu. Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe! Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu. Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.
unadhani unafikiri sawasawa?,nenda nchi yeyote ambayo unadhani ina demokrasia ukafanye huo ujinga wa hao vijana utaona nini maana ya demokrasia,watanzani neno demokrasia sio kufanya uhalifu wa kisayansi kama ule
Mi nimeacha siku nyingi kujenga hoja ba ukawa maana ni zero brain
So you take your self to be more right than us and thus a majority of one?
A strange feeling to have!
Hakuna kutetea waharifu hao vijana waminywe vizuri kabisa huko jela kila kitu kijulikane na hatua stahiki zichukuliwe kwa wote waliohusika hakuna kucheka na ngedere
Atujapika leo kwetu au umemaanisha nini?
Mkuu naona sasa wewe ndio unapotosha umma,eti Bashir Awale katekwa ukiisaidia polisi utasema unaonewa?
Ashakuwa Rais kwa kura halamu nini anatafuta sasa huyu jamaa?
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu. Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe! Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu. Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu. Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe! Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu. Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.