Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Ndio tunataka kuzika ufisadi na mafisadi nchi hii.

Baba magufuli bana hao kisawa sawa
 
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu. Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe! Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu. Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.

Mna jela za kutosha kufunga zaidi ya asilimia sitini ya watanzania?
 
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Akafute hoja zote alizoandika kuhusu ufisadi wa Lowassa ndio atujie na kitu kipya. Vinginevyo hakuna atakaeamini hoja zake
 
Huyu tangu 2013 aliamishwa? Walimteka nchi nyingine?
 
Ushabiki ukizidi unakuwa ujinga,wewe mleta mada nikuulize serikali iliyowakata hao ni hii ya magufuli?,lakini unadhani hao unaosema wamekamatwa walikuwa na faida yeyote kwa tanzania?,kama kweli wamefanya makosa wahukumiwe.
 
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Hahahahahahhh! Nicheke mie unamtegemea Kubenea, Kubenea, Kubenea?? Mwenye taarifa kanjanja? wapi mwanzo wa Urichmond wa Lowasa na umwisho wake?

Eeeeh! Mungu tusaidie
 
akishaelezea bungeni?
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
 
Kosa gani limefanywa na vijana wa Lowassa?. Kama mtu amekosea kweli kwanin hawakufuata procedures za kumkamata bali wakamteka?
Inawezekana Ulimboka nae alikua kijana wa Lowassa ndo maana na yeye alipotea kwa style kama hiyo

wan'jela soni mkulu vino mbwani?
 
Watakamata wangapi na rais wao wa Tanganyika?
 
unadhani unafikiri sawasawa?,nenda nchi yeyote ambayo unadhani ina demokrasia ukafanye huo ujinga wa hao vijana utaona nini maana ya demokrasia,watanzani neno demokrasia sio kufanya uhalifu wa kisayansi kama ule
Mkuu hii sio kazi,hii inaitwa purging~ Ni kitu cha kawaida kwenye nchi zinazoongozwa kidicteta.Hapa tunashabikia vyama vyetu lakini siamini kama unataka Tanzania iwe nchi ya kidicteta.Fikiria tena
 
Back
Top Bottom