Serikali ya Magufuli imeendelea kuwashughulikia wafuasi wa UKAWA na Lowassa kwa kutumia nguvu nyingi za Dola tangu walipokamata vijana wa tallying centres wa Chadema na kuwasingzia kuwa walikuwa wanafanya human trafficking, na sasa wanasema vijana wale waliingilia mitandao ya Tume ya Uchaguzi ili kuanza kupata matokeo, pamoja na kesi inayoendelea ya vijana hao mahakamani.
Sasa wameanza kukamata watu wote waliokuwa wakiwasiliana na vijana hao, na leo usiku huu alitekwa mkurugenzi wa zamani wa Stanbic; Bashir Awale; katika mazingira ya kutatanisha, lakini kwa tuhuma hizo hizo.
Hii njia ya kupunguza ari na joto la wananchi mamailioni ambao hawajaridhika na Uchaguzi wa mwaka huu. Inasikitisha sana kuona demokrasia inaporwa na vyombo vyetu vya Dola vikitumika vibaya.
Another DOT ......................?
Hellen Makanza wa Stanbic katika sakata la Tegeta ...
20 posts
1 Dec 2014
Huyu ni Head of Legal Services wa Stanbic Bank na ndiye aliesain Statement of account ya PAP
Anawajua beneficiaries woooote wa akaunti hiyo
Hivi hawa Stanbic sakata la Mikopo kwa wafanyabiashara wa Kariakoo na staff wao liimeishia wapi?
Sakata la Bashir Awale na mkopo wa mamilioni y dola anbayo BOT hawakujua kimeishia wapi?Attached Thumbnails![]()
![]()