Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

naskia jamaa anapenda visasi sana tutaona mengi sasa malaya n mashangingi wa dar wote walikua ccm......ikulu 2015 walikuepo cjui watapewa ulaji wapi mana ni wengi sana kuanzia bongo movie hadi bongo fleva

Hao wengi wataajiriwa kwa January makamba kwani ndiye alikuwa akiwaleta ccm ili apate kupiga pesa za kampeni kupitia slop yao, sasa yupo busy kwa masangoma akiwinda Uwaziri kwenye Wizara zenye Ulaji mwingi kama wizara ya Nishati na madini, wizara ya uchukuzi, wizara ya viwanda na biashara huku wizara ya Fedha mwigulu kamuomba amwachie ili awe Waziri kamili.
 
Hao wengi wataajiriwa kwa January makamba kwani ndiye alikuwa akiwaleta ccm ili apate kupiga pesa za kampeni kupitia slop yao, sasa yupo busy kwa masangoma akiwinda Uwaziri kwenye Wizara zenye Ulaji mwingi kama wizara ya Nishati na madini, wizara ya uchukuzi, wizara ya viwanda na biashara huku wizara ya Fedha mwigulu kamuomba amwachie ili awe Waziri kamili.

kwahiyo sangoma ndo wanateua mawaziri???
 
kwahiyo sangoma ndo wanateua mawaziri???

Hapo sasa tumuulize January maana yy anaamini kupitia huko ni rahisi kuteuliwa kuwa Waziri tena ile wizara ya Ulaji.
 
Hahahahahahhh! Nicheke mie unamtegemea Kubenea, Kubenea, Kubenea?? Mwenye taarifa kanjanja? wapi mwanzo wa Urichmond wa Lowasa na umwisho wake?

Eeeeh! Mungu tusaidie

wwe huna akiliii kabisa kichwa maji kabisaaa kwahiyo waovu wasifichuliwee kisa wako ccm?
 
Kumteka mkurugenzi wa stanbic hakutosaidia kitu.Kama issue ni Escrow, basi Kubenea ataeleza kila kitu Bungeni kuhusu Escrow kama alivyoahidi kwenye kampeni na hiki ndio kitakuwa kipimo kizuri cha Magufuli na serikali yake kwenye swala zima la ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Huu ndo uzuri wa mtanzania... Tunajichagulia vya kusema kisiasa kulingana na Muda... Na tunaaminika tu,,, maana hakuna namna nyingine
 
unadhani unafikiri sawasawa?,nenda nchi yeyote ambayo unadhani ina demokrasia ukafanye huo ujinga wa hao vijana utaona nini maana ya demokrasia,watanzani neno demokrasia sio kufanya uhalifu wa kisayansi kama ule

Na kiukweli serikali imekuwa vumilivu sn kwa tukio la kishenzi kiasi kile. UHALIFU ule hauvumiliki popote pale kwa kiwango cha uvumilivu wa serikali yetu Watanzania. Na nadhani ni MIONGONI mwa sababu za upinzani kuwa wapole.
 
Huyu siwale namjua ni mwizi tapeli kama unakumbuka pale stanbic bank aliiba ndiyo akafukuzwa kazi,

Lakini pia huyo siwale kwanza siyo mtanzania bali ni mkenya hata kukaa kwake nchini siyo halali mda wake ulishaisha lakini anakaa kiujanja tu,

Mbali na hilo siwale amekuwa akitumiwa na makundi ya kihalifu hasa yanayofanya mashambulizi kenya kwa malengo wanayojua wao.

Hata paspoti yake siyo sahihi kwani alipewa kinyume na utaratibu na masha wakati huo akiwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi,

kifupi hafai wala usitetee uozo hata kidogo.
Ala kumbe sio mtanzania,kwa hiyo anataka akinukishe halafu avuke mpaka akimbilie kwao,Mungu mkubwa kumbe ikulu ingekuwa mikononi mwa wakora eh,hivi kweli mgeni anaruhusiwa kufanya''siasa''wakati si mtanzania,hawa ndio wanatuletea mamluki ili waharibu mfumo wa kuhusebu kura na nchi iingie kwenye sintofahamu,sasa umefika serikali kuwafikisha mbele ya vyombo vya haki wakubwa wao amabo ndio wasuka mipango hawa akina Awale ni vidagaa tu ,hatua kali zichukuliwe ili liwe fundisho.
 
Mna jela za kutosha kufunga zaidi ya asilimia sitini ya watanzania?
Kama hao ndio Watanzania basi kuna Tanzania ingine,halafu sijui kwanini malofa hamjifunzi ,kikinuka hapa mtakimbilia wapi hao mnaowatetea wana manyumba london,Dubai na mapesa ya kutosha,wakati wewe unazungusha mikono wenzako watakuwa Ulaya,tuipende nchi yetu,huoni aibu kuna mnaleta watu tokanje ili waje wavuruge amani,kisa uraisi.
 
Ala kumbe sio mtanzania,kwa hiyo anataka akinukishe halafu avuke mpaka akimbilie kwao,Mungu mkubwa kumbe ikulu ingekuwa mikononi mwa wakora eh,hivi kweli mgeni anaruhusiwa kufanya''siasa''wakati si mtanzania,hawa ndio wanatuletea mamluki ili waharibu mfumo wa kuhusebu kura na nchi iingie kwenye sintofahamu,sasa umefika serikali kuwafikisha mbele ya vyombo vya haki wakubwa wao amabo ndio wasuka mipango hawa akina Awale ni vidagaa tu ,hatua kali zichukuliwe ili liwe fundisho.

Haaa haa siasa za maji taka. ukitaka uambiwe wewe sio raia wa nchi hii ipinge ccm....
 
Kama hao ndio Watanzania basi kuna Tanzania ingine,halafu sijui kwanini malofa hamjifunzi ,kikinuka hapa mtakimbilia wapi hao mnaowatetea wana manyumba london,Dubai na mapesa ya kutosha,wakati wewe unazungusha mikono wenzako watakuwa Ulaya,tuipende nchi yetu,huoni aibu kuna mnaleta watu tokanje ili waje wavuruge amani,kisa uraisi.

haa haa akili za panzi hizi uzalendo ni kutokuwa upinzani. ukiwa upinzani wewe sio mzalendo. pia ww unataka kuvuruga amani. masikini nchi yangu...
 
haa haa akili za panzi hizi uzalendo ni kutokuwa upinzani. ukiwa upinzani wewe sio mzalendo. pia ww unataka kuvuruga amani. masikini nchi yangu...

Mkuu tatizo na wewe unaleta ushabiki bila mantiki.
Hebu fuatilia gazeti la Nipashe imekiri kuwa jamaa ni mkenya. Pia kibali chake cha kuishi nchini kama mgeni imewekwa. Sasa unabisha nini? Mlikuwa mnamtumia mkenya mwenye asili ya kisomali kama mshauri wenu wa kisiasa. Lazima tuhoji watanzania uzalendo wenu na wa mgombea wenu.
 
Na yule kamanda wao anatakiwa awe katibu mwenezi wa CCM kwanza umri umemtupa lakin anajitutumua tu
 
CCM mbona povu linawatoka sana? Hivi nchi hii wakukamatwa ni wapinzani tuu, mnatoa povu hadi kwa gazeti linalohabarisha eti wangesubiri, nchi inakoelekea siko asee

Wapinzani tu?
Acha mahaba. Kampeni zimeisha.

Huyo Jamaa Bashir sio mtanzania na hilo linafahamika wazi siku zote.

Hivyo Bashir hana haki ya kushiriki kupiga kura na kuwa kiongozi wa kisiasa ndani ya chama chochote tanzania.
Kitendo cha yeye kuwa mwanamkakati wa team lowassa tangu akiwa ccm na kuhama naye kwenda chadema kama inavyoripotiwa katika hilo gazeti ni jambo la hatari sana.

Kuna harufu kubwa ya uhalifu hapa kwa sababu yeye na wale raia wengine wa kigeni wenye asili ya kiasia na afrika magharibi wanatuhumiwa kuingilia mfumo wa tume.

Vyombo vya dola vifanye kazi yake, ukweli ujulikane na haki ipatikane.

Kuna kijana mwingine mtanzania huyu anaitwa yeriko nyerere. Huyu bwana tangu 'sheria ya cyber' imeanza maoni ya jumla ndani ya hili jukwaa ni kuwa lazima imtie mbaroni. Tena wengi walienda mbele na kusema asipokamatwa ni hiyo sheria basi sheria itakuwa haina maana.

Siku aliyokamatwa vilio vingi vikaanza mpaka ndank ya JF...ohoo anaonewa ...ohoo mara hivi mara vile.
 
kama uchaguzi umeisha na uishe na mambo yake lakini hii tabia ya kuendeleza uhasama utaliingiza taifa kwenye msuguano. ndio maana mi nasemaga hii nchi hatuwezi kuogopana mpaka tuchapane kwanza japo miezi mitatu tu

Na wahalifu wote waliofanya vitendo vya hatari na haramu waachiwe huru?
Huu sio uhasama wa kisiasa kwa kuutazama tu.
Mbona viongozi wengi wa upinzani wala hawakamatwi, hawahojiwi wala kusumbuliwa?
Kuna tatizo mahali hasa raia wa kigeni wanapoona wana haki ya kutuchagulia rais.
 
Kasi gani yakuzulula ovyo au

We unamfananisha na lowassa alivyokuwa anapanda daladala na kula kwa mama ntilie sio?

Mwache magufuli afanye kazi.
Waliokuwa wanazurura hovyo huko serikalini hukuwaona?

Matunda ya uzururaji hujayaona?
 
We unamfananisha na lowassa alivyokuwa anapanda daladala na kula kwa mama ntilie sio?

Mwache magufuli afanye kazi.
Waliokuwa wanazurura hovyo huko serikalini hukuwaona?

Matunda ya uzururaji hujayaona?
Sijayaona???
 
Back
Top Bottom