Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu.

Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe!

Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu.

Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.

Huyu anasababisha machafuko ila Jecha anasababisha amani.
 
Natamani nikutukane tusi moja baya sana, ila basi tu.

Hao vijana wana makosa kwani walikuwa na lengo la kutuletea machafuko. Hatuna mzaha na mtu yeyote anayetaka kuhatarisha amani ya nchi yetu. Na kila aliyehusika lazima akamatwe na lazima wafungwe!

Bado zamu inakuja kwa mbowe na kundi lake wote, labda akimbie nchi, wewe subiri sasa. Si nyie mlinunua watu mkidhani usalama wa taifa wamelala, waliwaachia tu ili uchaguzi upite, sasa kazi kwenu.

Siku nyingine mjifunze kuwa realistic, siyo mtu unapewa kazi ya kuhatarisha amani na tapeli kama mbowe wewe unakubali tu.

Wewe ni mpuuuzi kweli!!! Huna ubongo wa kufikiri kama binadamu wa kawaida nakupuuuza hakuna haja ya kumjibu mpuuuzi kama wewe, hovyooo, katishie vyura huko mtoni.
 
Nipashe siku hiz haina tofaut na magazet ya global publishers
 
Huyu siwale namjua ni mwizi tapeli kama unakumbuka pale stanbic bank aliiba ndiyo akafukuzwa kazi,

Lakini pia huyo siwale kwanza siyo mtanzania bali ni mkenya hata kukaa kwake nchini siyo halali mda wake ulishaisha lakini anakaa kiujanja tu,

Mbali na hilo siwale amekuwa akitumiwa na makundi ya kihalifu hasa yanayofanya mashambulizi kenya kwa malengo wanayojua wao.

Hata paspoti yake siyo sahihi kwani alipewa kinyume na utaratibu na masha wakati huo akiwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi,

kifupi hafai wala usitetee uozo hata kidogo.
Mda wote ulikuwa wapi hukusema unayosema. Hii haina tofauti na tuliyoshuhudia kuwa ukiwa ccm mtakatifu ,ila ole wako utoke. Ukiwa kapi tu, ufisadi wako waanza anikwa.Jamani watz. twaelekea wapi?
 
Mbona tuhuma zao ni kutangaza matokeo ya uchaguzi kinyume cha sheria? Tuhuma nyingine ni kuingilia mfumo wa mawasiliano wa NEC? Kwa nini gazeti linatoa tuhuma za uongo za kujumlisha matokeo ambalo sio kosa? kwani watu wa Nipashe hawakusikia au kuona waliposomewa mashtaka mara ya kwanza???
 
Mbona tuhuma zao ni kutangaza matokeo ya uchaguzi kinyume cha sheria? Tuhuma nyingine ni kuingilia mfumo wa mawasiliano wa NEC? Kwa nini gazeti linatoa tuhuma za uongo za kujumlisha matokeo ambalo sio kosa? kwani watu wa Nipashe hawakusikia au kuona waliposomewa mashtaka mara ya kwanza???

Hiyo tuhuma ya kuingilia mtandao wa nec mkuu inanifurahisha sana
 
Mimi nipo ndugu yangu, ukitaka kuniona ni wewe tu!
Kama unaweza kung'ata,sema tuonane!

Kabla ya uchaguzi ulisema utakuja kukaa mita 200 kutoka nec tena unatokea mkoani. Vp ulikaa? Ulipata nn? Vp ile kesi yenu ICJ?
 
Huyu Mengi na magazeti yake kama NIPASHE wamekuwa wa hovyo hovyo sana.
Gazeti linaandika kwa minajili ya kuonesha kama hao waliokamatwa ( vijana waliokuwa wakijumlisha matokeo) wameonewa wakati jeshi la polisi walishatoa taarifa kuhusu udukuzi na uingiliaji wa mchakato wa kuhesabu kura na usambazaji uliokuwa ukifanywa na hao vijana, mbaya zaid hili gazeti la nipashe hawajiulizi kama ishu ilikuwa kujumlisha matokeo tu kwanini cdm walim-hire mkorea, muAngola na mkenya

Pambaff gazeti la NIPASHE
 
Acha vyombo vya usalama vifanye kazi...
Mtaanza ku politicize kila kitu in the name of upinzani

tuacha uchabiki wa kijinga niulze swali Je! Mafisadi wanachkliwa hatua za ksheria au inabak wat kjiuzr na ksmamshwa kaz bla hatua yyte ya ksheria kchkliwa? Mnyonge hatabak kuwa mnyonge na mwny nacho atak kuwa nacho
 
Haya unayoongea,serikali ingeyasimamia na Polisi ikasitisha kamata kamata halafu wanachama wenu wakaeleweshwa kwamba uchaguzi umeisha ningewaelewa. Unakuta mtu mmoja kama wewe anatoa elimu ya uelewa ila system nzima inafanya kazi tofauti.
Hii inafurahisha saana kwenye thread moja ninaitwa UKAWA, sasa hivi CCM. Tujifunze kuandika ukweli bila kujali ushabiki wa vyama. nchi yetu imeoza kama ni CCM, CHADEMA, CUF au yoyote anayesababisha kina mama walale chini, wanafunzi wakose vitabu, rasilimali kuibiwa, utendaji mbovu; wote hawa wasiwe marafiki zetu. Polisi ikamate lakini mahakama zitaamua.
 
Back
Top Bottom