Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,932
- 34,916
Sina imani polisi hata #RIPeddyMacha
Kuna michagga mingi sana humu JF
Sina imani polisi hata #RIPeddyMacha
Wapinzani tu?
Acha mahaba. Kampeni zimeisha.
Huyo Jamaa Bashir sio mtanzania na hilo linafahamika wazi siku zote.
Hivyo Bashir hana haki ya kushiriki kupiga kura na kuwa kiongozi wa kisiasa ndani ya chama chochote tanzania.
Kitendo cha yeye kuwa mwanamkakati wa team lowassa tangu akiwa ccm na kuhama naye kwenda chadema kama inavyoripotiwa katika hilo gazeti ni jambo la hatari sana.
Kuna harufu kubwa ya uhalifu hapa kwa sababu yeye na wale raia wengine wa kigeni wenye asili ya kiasia na afrika magharibi wanatuhumiwa kuingilia mfumo wa tume.
Vyombo vya dola vifanye kazi yake, ukweli ujulikane na haki ipatikane.
Kuna kijana mwingine mtanzania huyu anaitwa yeriko nyerere. Huyu bwana tangu 'sheria ya cyber' imeanza maoni ya jumla ndani ya hili jukwaa ni kuwa lazima imtie mbaroni. Tena wengi walienda mbele na kusema asipokamatwa ni hiyo sheria basi sheria itakuwa haina maana.
Siku aliyokamatwa vilio vingi vikaanza mpaka ndank ya JF...ohoo anaonewa ...ohoo mara hivi mara vile.
Kamwaone daktari wa macho
Huyo Bashir alivyokuwa MD wa Stanbic Bank, serikali ilikuwa haijui?
Kwanini wasingemkamata toka alivyokuwa mwanamkakati wa Lowasa akiwa CCM?
Undumilakuwili wa vyombo vya usalama ndio huu. Ukiwa upande wao wanakunyamazia, ukienda kwa wapinzani wanakuona threat.
*Sina matatizo ya macho*
Basi kama huna matatizo ya macho kaa utulie tuendelee kuangalia tuhuma za huyu msaidizi wa Lowassa
?????unafuraia kabisa tunavyonyanyaswa wapinzan??
Sifurahii hata kidogo.
Sio haki na inarudisha nyuma demokrasia.
Lakini pia sifurahishwi hata kidogo na hii tabia ya watu kulialia na kutanguliza mbele mahaba ya kisiasa kuliko maslahi ya taifa.
Nimemjibu mdau mmoja kuwa tuviache vyombo vya dola vifanye kazi yake..kama jamaa kabambikiwa kesi itajulikana hivi karibuni.
Na ikithibitika hivyo basi tushirikiane hivi hivi kuwalaani na kuwawajibisha waliombambikia kesi.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=14593261
Huo ndo utawala wa sheria na hiyo ndiyo demokrasia. Ukivunja sheria hatupaswi kuangalia sura ama chama chako.
We ma..ku acha ukabilasrry nmekutukanaKuna michagga mingi sana humu JF
Na wahalifu wote waliofanya vitendo vya hatari na haramu waachiwe huru?
Huu sio uhasama wa kisiasa kwa kuutazama tu.
Mbona viongozi wengi wa upinzani wala hawakamatwi, hawahojiwi wala kusumbuliwa?
Kuna tatizo mahali hasa raia wa kigeni wanapoona wana haki ya kutuchagulia rais.
Mimi naomba kuuliza kwanini Bashe alipotuhumiwa sio raia hakuwekwa ndani?
kuna sababu gani ya kumuweka mbaroni mtu kwa tuhuma za kutokuwa raia?
sure broo...they must do something vinginevyo itakuwa too lateMimi namwambia Lowassa na Mbowe, CCM watatumaliza tukiendelea kukaa kimya. They are coming on us with everything, we better act now while we still have the muscle.
Kuna michagga mingi sana humu JF
Ndivyo wanavyowadanganya na kuwaaminisha watanzania kuwa ulikuwepo mpango wa ku-hack system ya nec. Hizi ni propoganda za ki-Soviet union enzi za Cold War. Sikujua kuwa bado zinaweza kuwa effective enzi hizi za utandawazi! poor bongoland:-(Huyu jamaa tayari si mtanzania sio kwamba anatuhumiwa maana NA kibali anacho kinahonyesha ila kosa lake kwa nn anajihusisha NA siasa NA mbaya zaidi ni siasa hatarishi km mipango ya Ku hack system ya nec bashe tatizo lilikuwa uraia
Mkuu vipi mrejesho wa ICJ
#Mwana Mtoka Pabaya. Umesema vyema. Walio sober katika kuyapokea na kuyatafakari yote yaliyojiri kabla, wakati na yanayoendelea baada ya uchaguzi, watakuelewa.