Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
kwa hiyo Rais ataenda kumtembelea kesho muhimbili au ataenda kutoa pole kwa wanafamilia nyumbani kwao??
itategemea na mazingira na hali. Sisi tumwombee kwa Mungu majeruhi apone haraka ili aendelee kuitunza jamii yake. Magamba inawezekana walikuwa na mpango wa kutoa kafara kabla ya kuapisha baraza, Mwenyenzi Mungu akaepusha.