Katiba katibaMascara wa ccm but gari ni STK, STL
Hela za wananchi zipotail driving ni uendeshaji hatari sana.
Gari ya mbele ikisimama ghafla ni ajali.
Kwa hadhi ya magari ya huu msafara, matengenezo ni ghali sana.
CHADOMO kwa roho mbaya tu!! Yaan hamufurahishwi kabisa na kazi yake Duh!😔Taarifa haina mvuto kama Makonda hajafa.
teh teh kama Chuma Chakavu.....STL 8699 limeingia sokoni, tupeane connection wadau.
Huyu mtoto bashite anaitia nchi gharama nchi mnacheke Cheka, zimwi likujualo halikuli likakwishaMsafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
Taarifa zaidi zitaendelea kukujia.
#AzamTVUpdates
Imeandikwa na John Kasembe, Wahariri Onike Masayanyika na Claud MshanaView attachment 2900908
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Hawa wanyonge ni akina nani?? Is it fair kumuita mwenzio mnyonge?makonda hatochoka kuipigania nchi hasahasa kwa wanyonge na walalahoi wallah
Hahahahahaa Marehemu alikimbiaNawaaminia sana wanangu wa kusini wao hawana kelele show zao kimya kimya tu. Hii safi sana