kimeta cha ufisadi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 398
- 70
Gari la katibu wa mkoa wa Mbeya limepata Ajali watu wamejeruhiwa ila tunamshukuru Mungu kwani hakuna aliyefariki. Majeruhi mmoja amelazwa ktk hospitali teule ya Mwambani Mkwajuni Chunya.
Katibu Mkuu wa chama Taifa, Kinana hajadhurika katika ajali hii.
Nipo eneo la tukio.
Katibu Mkuu wa chama Taifa, Kinana hajadhurika katika ajali hii.
Nipo eneo la tukio.