Hivi Tanzania tutakua na misafar mingapi? Inamaana wananxhi wanapoteza maisha eti msafara wa Salma? Kwa nini? Huu upumbavu utaisha lini?
Nina wasi wasi Ridhi1 naye ana msafara wake! Misri na Tunisia imekaribia!
Its just a mere accident...
Leo nimesafiri bila Laptop, ningeweza kutuma picha. Nimepiga kadhaa lakini zipo kwny camera, nikifika Arusha nitaweka picha.