Kama dereva alikuwa anajari-kuserve maisha ya huyu mama ndio akafa yeye basi Marehemu alikuwa Mpumbavu, hayo siyo mafunzo ya kivita; askali anatakiwa kuokoa maisha yake yeye mwenyewe kwanza, maana yeye ndio nguzo ya Ushindi maana huyo mama akifa siyo hasara kwa taifa kama akifa yeye, inawezekana kupata askali shupavu na makini kama yeye itakuwa kazi ngumu sana kwa taifa ukinganisha na kifo cha Fisadi mmoja, Government can get First ladies at low costs kuliko ku-train Kachero, tumepata hasara kubwa sana, hawa makachero wetu nadhana hawajapata elimu ya kutosha huyo mama hayumo katika list ya watu wakulinda ikibidi ufe!! nadhani watu wakulinda ikibidi ufe hapa TZ ni Rais na Waziri Mkuu.
jamani waganga huwa wanafuatwa makwao!
RIP marehemu dereva! Ila naona sasa misafara imekuwa mingi na gharama za kuiendesha nazo zinakuwa kubwa kama ikiwezekana tuipunguze sana isiyokuwa ya muhimu, ooooh ashuakum si matusi!!!Msafara msafara...wana sifa za kipumbavu kweli!!
Hizo pesa za kusafiri na misafara isiyo na maana wangewekeza kwenye maendeleo ya Mtanzania tungesogea angalau:coffee: robo hatua!!
Tuwe na huruma zaidi kuliko ushabiki, vp kama ajali hiyo ingemuhusu ndugu yako wa damu (mama, dada, shangazi, mpwa, baba au kaka) ungetoa comments gani?
:msela: Sio kama inatakiwa kwenda kwa mganga kimya kimya.aaaaah aaah.Safari ilikuwa inaelekea kwa waganga, hakuna huruma kwa wachawi hapa!!!
AJALI sio AJARI,,,, pamoja mkuu.Ajari mbaya imetokea maeneo ya Vigwaza, msafala ulikuwa unatoka Dsm unaelekea Chalinze (Msoga). Magari matatu yamegongana, gari 1 aina ya toyota Land Cruiser ambalo lilikuwa kwenye msafara limegongana uso kwa uso na Basi la Moro Best, pia basi hilo liligonga kwa nyuma Toyota Hiace.
Dereva wa Toyota LX amefariki hapo hapo, katika ajali hiyo watu kadha wamejeruhiwa.
Dereva wa Usalama afa kumuokoa Salma Kikwete http://bit.ly/gGG9P1"
MSAFARA wa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete umepata ajali na kusababisha kifo cha dereva wa Idara ya Usalama wa Taifa, Ramadhani Mkoma, Fikra Pevu, limethibitishiwa. Habari zilizoifikia Fikra Pevu na ambazo zilianza kumiminika katika mtandao wa Jamiiorums.com zimeeleza kwamba ajali hiyo imetokea eneo la Ruvu saa 6.30 Jumapili (Februari 13,210), wakati Mama Salma akielekea katika nyumba yao mpya kijijini Msoga.
Soma Zaidi (FIKRA PEVU)
Na sio MSAFALA ni MSAFARAAjari mbaya imetokea maeneo ya Vigwaza, msafala ulikuwa unatoka Dsm unaelekea Chalinze (Msoga). Magari matatu yamegongana, gari 1 aina ya toyota Land Cruiser ambalo lilikuwa kwenye msafara limegongana uso kwa uso na Basi la Moro Best, pia basi hilo liligonga kwa nyuma Toyota Hiace.
Dereva wa Toyota LX amefariki hapo hapo, katika ajali hiyo watu kadha wamejeruhiwa.
Dereva wa Usalama afa kumuokoa Salma Kikwete http://bit.ly/gGG9P1"
MSAFARA wa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete umepata ajali na kusababisha kifo cha dereva wa Idara ya Usalama wa Taifa, Ramadhani Mkoma, Fikra Pevu, limethibitishiwa. Habari zilizoifikia Fikra Pevu na ambazo zilianza kumiminika katika mtandao wa Jamiiorums.com zimeeleza kwamba ajali hiyo imetokea eneo la Ruvu saa 6.30 Jumapili (Februari 13,210), wakati Mama Salma akielekea katika nyumba yao mpya kijijini Msoga.
Soma Zaidi (FIKRA PEVU)
Du! Jamaa kwa kudandia uongo hamjambo. Jamaa kasema magari yalikuwa kama na sio 10....Msafara wa magari 10!.. Duh!.. Anawabeba akina nani humo!?...
Are u sure kuwa alikuwa akienda kwa mganga? Acheni hizoSafari ilikuwa inaelekea kwa waganga, hakuna huruma kwa wachawi hapa!!!