Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,523
- 1,609
Habari za muda huu wana JF,
Kheri ya mwaka mpya wote tuliovuka salama, natumai mko salama.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kutumia Nokia NSeries naomb anipe maelekezo kdg kuhusu hizi simu upande wa mtandao na pia nawezaje kupata battery lake iwe Dar es salaam au mkoa mwngne.
Ahsanteni.
Kheri ya mwaka mpya wote tuliovuka salama, natumai mko salama.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kutumia Nokia NSeries naomb anipe maelekezo kdg kuhusu hizi simu upande wa mtandao na pia nawezaje kupata battery lake iwe Dar es salaam au mkoa mwngne.
Ahsanteni.