Habari wanaJF,
Katika harakati zozote za binadamu changamoto hazikosekani katika maisha, nimesema hivyo kwasababu kuna mdada mmoja jirani hapa nimefamiana naye kidogo sana. Siku moja akanifuata akaniomba nimsaidie chochote nilichonacho akaniambia yeye anadaiwa kodi na mwenyumba wake na pia hana hela hata ya msosi
Binafsi nikaguswa na shida yake nikaamua nimsaidie bila condition yoyote naamini shida imeumbwa kwa mtu yoyote na unapoona mwenzako msaidie kama uwezo huo unao na kwa moyo wako bila kutegemea chochote kutoka kwake.
Nami nikamsaidia kumlipia kodi lakini pia nikampa na hela ya msosi maana nilikuwa na number yake na yeye ana number yangu baadae usiku akanipigia akanishukuru tena kwa msaada niliompa.
Tangu nimsaidie imekuwa kama nimefungulia mbwa huyu dada amekuwa ananiomba haswa hivi mpaka najiuliza hivi huyu dada ajistukii utadhani mimi ni boyfriend wake au ni Mzazi wake kila nilitaka nimchane moyo unasita najikuta naahirisha
Hivi wadada mna shida gani?
Katika harakati zozote za binadamu changamoto hazikosekani katika maisha, nimesema hivyo kwasababu kuna mdada mmoja jirani hapa nimefamiana naye kidogo sana. Siku moja akanifuata akaniomba nimsaidie chochote nilichonacho akaniambia yeye anadaiwa kodi na mwenyumba wake na pia hana hela hata ya msosi
Binafsi nikaguswa na shida yake nikaamua nimsaidie bila condition yoyote naamini shida imeumbwa kwa mtu yoyote na unapoona mwenzako msaidie kama uwezo huo unao na kwa moyo wako bila kutegemea chochote kutoka kwake.
Nami nikamsaidia kumlipia kodi lakini pia nikampa na hela ya msosi maana nilikuwa na number yake na yeye ana number yangu baadae usiku akanipigia akanishukuru tena kwa msaada niliompa.
Tangu nimsaidie imekuwa kama nimefungulia mbwa huyu dada amekuwa ananiomba haswa hivi mpaka najiuliza hivi huyu dada ajistukii utadhani mimi ni boyfriend wake au ni Mzazi wake kila nilitaka nimchane moyo unasita najikuta naahirisha
Hivi wadada mna shida gani?