Msaada wanandoa

Msaada wanandoa

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
jamani msaada jamani naomba kuuliza, mimi ni mwanandoa mgeni nina tatizo ambalo naomba ushauri.

Kipindi sijaoa nilikuwa nikishiba naenda kulala mwenyewe chumbani tumbo linapohitaji kutoa hewa chafu nilikuwa najiachia kwa ujasiri wote.

Sasa tangu nimeoa hili zoezi naona linakuwa gumu kidogo kwani namuonea aibu huyu mwenza wangu nikifikiria ile harufu itakayotoka sasa inabidi wakati mwingine nijibane ambayo kiafya wanadai siyo vizuri au wakati mwingine inabidi nitoke nje manake nimepanga chumba kimoja sasa.

Kiukweli najionea tabu tu, sasa nyie wakongwe wa haya mambo naomba ushauri nijue huwa mnafanyaje.

Asante
 
Kuna uzi ulikuja hapa juzi kati unaongelea habari hii, au wewe ndo ulikua mlengwa?
 
Jamani mke wangu anajamba hovyo jf imekuwa ya kujamba tu lol
 
Kwani wakati wa uchumba hukuwahi kulala naye kitanda kimoja / shuka moja ili upate experience???

Mkuu jiachie tena ikibidi mjifunike gubigubi ili ile hewa isitoke. Hapo utakuwa unampima uvumilivu wake....

Vile viapo vya "Kwa shida na raha" vina maana nyingi, mfano wakati wa shida unaweza kuugua ukawa unajisaidia hapo hapo, je ataweza kukuhudumia iwapo hatoweza kuvumilia harufu ya ki.ja.mpo?????
 
Hakuna shida hapo,jiachie tu mkuu,nyinyi mshakuwa mwili mmoja shida zako ndio shida zake.
 
Haaa HAKU A RAHA KAMA KUPOKEZANA KUJAMBA PAMOJA MKUU USIONE AIBU NDO MAANA MTAKUWA PAMOKA KWENYW SHIDA NA RAHA
..USIKUBALI MMOJA AJAMBIE.SEBULEN. MWINGINE CHUMBAN. SI KITUKIMOJA TENA
 
MFUNDE HUYO SISI TUKIJAMBIANA TUNAPEANa POLE UKOIONA HEWA IMEZIDI USIKASIRIKE UNAENDA KUGONGA. MAKALIO UNAYÀAMBIA SAASA PUMZUKA KAMA RAHA NSHAPATA TULIA TULALE MAKALIO YANASIKIA LABDA ATACHEKA HAPO ATAJAMBA .MNALALA FOFO KAMA NKO NYUMBA ZA NHC
 
Pamoja nayote punguza CHAKYLA CHA WANGA
 
Inaonekana mliponana tu mara ya kwanza na ndoa ilifungwa papo hapo. Kama unashindwa kujamba mbele yake ni wazi hujamzoea. Kama ungekuwa umemzoea hilo lisingekuwa tatizo ungejamba kwa nguvu zote halafu yeye angekuuliza kwa pozi na huba tele, "pole mpenzi, hujaumia?"
 
Hasa usiku mkuuu

vingine vinatokaga kama radi inaanguka na usingizi ule umashtuka kama umeshikwa makalio mnaishia kufa na shinikizo la damu kumbe moyo ulishtuka ujanani

mapenzi hamu jamani .
 
jiachie weweeeeee piga kaboooom zako kwa raha tu!!
ndo uwazi na ukweli huo.lol

karibu mjengoni.
 
Hawa ndio wale raha yangu shida chukua
 
Kama unaona haya kujamba basi haukupata mda mzuri kufahamiana na mkeo kipindi cha uchumba. nakushauri umfanye mkeo awe rafikio mkubwa na punguza adabu ukiwa naye isiwe kama upo na mama mzaz. hapo kutoa hewa chafu itakua kama kutema mate.
 
Hasa usiku mkuuu

vingine vinatokaga kama radi inaanguka na usingizi ule umashtuka kama umeshikwa makalio mnaishia kufa na shinikizo la damu kumbe moyo ulishtuka ujanani

mapenzi hamu jamani .

Ahahaaaaaa
 
Kama unaogopa kujamba mbele ya mkeo ninahisi hata gogo huwa unaogopa kukata mkeo akiwepo...
 
Hasa usiku mkuuu

vingine vinatokaga kama radi inaanguka na usingizi ule umashtuka kama umeshikwa makalio mnaishia kufa na shinikizo la damu kumbe moyo ulishtuka ujanani

mapenzi hamu jamani .

kumbe unajua kuandika vizuri??
 
Jamba tu mwana mbona we ukipitiwa na usingizi ye anajamba sana tu !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom