Msaada wakuu,Nimerogwa na mpenzi

Msaada wakuu,Nimerogwa na mpenzi

wilsonwizzy

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
627
Reaction score
2,730
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Natumaini jamiiforums ina watu wenye experience na ujuzi katika mambo mbalimbali,

Tatizo langu,
Nimerogwa na mpenzi,sasa siwezi kufanya mapenzi na mwanamke mwingine tofauti nayeye tu.
Nikiwa na yeye mashine inasimama safi tu,

Lakini nikiwa na mwanamke mwingine mashine haisimami na hata ikisimama nikitaka kuweka tu basi mashine inalala palepale,

Naombeni ushauri/msaada wa kuondokana na hii changamoto kiukweli inaumiza sana,
Kuliko nifanye maamuzi mabaya yanayo weza pelekea kunigharimu basi nimeona nije kwenu wakuu,

Najua humu siwezi kosa msaada,
Labda kuna mtu alishawahi kupitia hiyo changamoto akafanikisha kutatua au alishuhudia mtu ana changamoto hiyo na akafanikisha kutatua,basi aniambie pakuanzia

Nb: kama unapata riziki kwenye pilika zako kuwa makini sana na hawa maslay queen wa mjini wenye njaanjaa🙏
 
Kama kochwa cha habari kinavyojieleza,
Natumaini jamiiforums ina watu wenye experience na ujuzi katika mambo mbalimbali,

Tatizo langu,
Nimerogwa na mpenzi,sasa siwezi kufanya mapenzi na mwanamke mwingine tofauti nayeye tu.
Nikiwa na yeye mashine inasimama safi tu,
Lakini nikiwa na mwanamke mwingine mashine haisimami na hata ikisimama nikitaka kuweka tu basi mashine inalala palepale,

Naombeni ushauri/msaada wa kuondokana na hii changamoto kiukweli inaumiza sana,
Kuliko nifanye maamuzi mabaya yanayo weza pelekea kunigharimu basi nimeona nije kwenu wakuu,

najua humu siwezi kosa msaada,
Labda kuna mtu alishawahi kupitia hiyo changamoto akafanikisha kutatua au alishuhudia mtu ana changamoto hiyo na akafanikisha kutatua,basi aniambie pakuanzia

Nb: kama unapata riziki kwenye pilika zako kuwa makini sana na hawa maslay queen wa mjini wenye njaanjaa🙏
Kachukua nguo yako ya ndani ama manii zako kazifungamanisha na zake na kuzinenea.. Vumilia tu anakulinda usidhurike na vingi
 
Tiba ya kwanza ni hiyo wewe kujua

Tiba ya pili ni kumweleza huyo mpenzi wako ajue kwamba alichokufanyia umejua

Umesema huyo ni mpenzi wako, hakikisha unamwoa sasa, ili mtoto wa watu aache kuwa na wasiwasi utamwacha ndiyo maana anakuroga
 
Tiba ya kwanza ni hiyo wewe kujua

Tiba ya pili ni kumweleza huyo mpenzi wako ajue kwamba alichokufanyia umejua

Umesema huyo ni mpenzi wako, hakikisha unamwoa sasa, ili mtoto wa watu aache kuwa na wasiwasi utamwacha ndiyo maana anakuroga
Hahaha nimecheka hatimae hahaha
 
No magic it's just a trick/myth


Imani za Kijadi na Kishirikina
Katika imani za kishirikina, watu wengi huamini kuwa inawezekana mwanamke (au mtu yeyote) akatumia mbinu za "ndele" au "vifungo" kumfanya mwanaume asitake kutoka nje. Hii mara nyingi huelezewa kama

Kumfunga mtu:
Kumfanya mwanaume apoteze hamu ya kwenda nje ya nyumbani au kukutana na marafiki, na badala yake kutaka kuwa na huyo mwanamke tu.

Kutuliza:
Mbinu zinazodaiwa kumfanya mwanaume awe "mnyonge" au "msikivu" kupita kiasi ili asifanye maamuzi yake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom