min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,360
- 130,825
Sio mimi bwasheehata pic huoni mkali
Sio mimi bwasheehata pic huoni mkali
Am serious boo😅😂😂😂 utaua bendi wewe
😅Kuchana mikeka hamjambo🙌🏾
hahahaKuchana mikeka hamjambo🙌🏾
sijakupoint mkuu, nimesema uoine tu kwenye jalada 😂Sio mimi bwashee
trick tu kuna ile nyingine nasikia inaitwa tego?Hilo ni jambo binafsi sana siwezi kulijibu hapa
Kuna mabinti huwa wanatumia hiyo mbinu ili kukufanya ushindwe kuwa na mahusiano mengine nje tofauti na yeye....Kuna hio line ya mwisho hapo uliposema yeye anataka kumla tu wakati hajamuoa ndio paliponifanya nikacheka sio vinginevyo hayajawahi kunikuta hayo hata kidogo
Mbona hamtupi hizo mbinu we mzee?🫢Kuna mabinti huwa wanatumia hiyo mbinu ili kukufanya ushindwe kuwa na mahusiano mengine nje tofauti na yeye....
Japo jambo hili huwa na side effect kwake pia, maana huyo mwanaume atakuwa na nguvu nyingi kuliko kawaida na atataka kumwingilia kila siku kutokana na athari za hilo tego
Na mara nyingi ikitokea huyo Mwanaume akmwacha, anaweza asisimamishe maisha yake yote hadi ategue hilo tego
unanionea sana mkuu, mtoa mada aendelee kufurahi tu atakuja stuka anachosema sio hapo baadae
Bwashee nimeona , natafuta hata wa kuniloga niache pombe ni dili nae tu 😄sijakupoint mkuu, nimesema uoine tu kwenye jalada 😂
Sasa huoni hapo ni issue ya kisaikolojiaKuna mabinti huwa wanatumia hiyo mbinu ili kukufanya ushindwe kuwa na mahusiano mengine nje tofauti na yeye....
Japo jambo hili huwa na side effect kwake pia, maana huyo mwanaume atakuwa na nguvu nyingi kuliko kawaida na atataka kumwingilia kila siku kutokana na athari za hilo tego
Na mara nyingi ikitokea huyo Mwanaume akmwacha, anaweza asisimamishe maisha yake yote hadi ategue hilo tego
Unataka ukamfunge nani hilo tego Mjukuu 😂Mbona hamtupi hizo mbinu we mzee?🫢
Hiyo changamoto haina utatuzi wa hospitali Mkuu, ni michezo ya kimila tuSasa huoni hapo ni issue ya kisaikolojia
Wewe kwani unataka kufanyaje huko mboni umekazana mbinu mbinu mbinu mbinu za nini?Mbona hamtupi hizo mbinu we mzee?🫢
makubwa sana utaueleza umma niniHahaha kuacha pombe ni makosa
Kwahiyo huo ni ugonjwa gani?😃unanionea sana mkuu, mtoa mada aendelee kufurahi tu atakuja stuka anachosema sio hapo baadae
Erectile disfunction mbona ina tiba za hospital kbsa mzeeHiyo changamoto haina utatuzi wa hospitali Mkuu, ni michezo ya kimila tu