Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,520
- 830,022
Tego ukitoka unanasatrick tu kuna ile nyingine nasikia inaitwa tego?
zinanasiana hakuna kutoka
Tego ukitoka unanasatrick tu kuna ile nyingine nasikia inaitwa tego?
zinanasiana hakuna kutoka
mbona hio situation huwa inatokea pia kwa wanyama especially dog's during matingTego ukitoka unanasa
Kwa hiyo kesi ya mtoa mada haitibiki hospitali, yeye anapiga mashine kwa mpenzi wake, lakini akienda kwa side chick kitu hakisimamiErectile disfunction mbona ina tiba za hospital kbsa mzee
Kwani umerogwa na slay queen wa mjini au vipi?Nb: kama unapata riziki kwenye pilika zako kuwa makini sana na hawa maslay queen wa mjini wenye njaanjaa🙏
Nataka nikajaribu babu, kumbe mna mbinu mnazificha huko sio😆Unataka ukamfunge nani hilo tego Mjukuu 😂
Mimi sitaki uniletee kesi kwamba Mkwe anataka kila siku, kumbe ni athari za tego lako
Nataka nikukomeshe uwe gasho mazimaWewe kwani unataka kufanyaje huko mboni umekazana mbinu mbinu mbinu mbinu za nini?
Ndo nikasema huoni kama ni issue ya kiakili na kihisiaKwa hiyo kesi ya mtoa mada haitibiki hospitali, yeye anapiga mashine kwa mpenzi wake, lakini akienda kwa side chick kitu hakisimami
Hayo ni mazingira mawili tofauti, na yana njia mbili tofauti ya kudeal nayo
sjabobea sana kwenye tiba, ila jambo la kawaida sana kusikia mganga kapata tatizo kakimbilia hospitali 😁Kwahiyo huo ni ugonjwa gani?😃
Huenda ukawa sahihi MkuuNdo nikasema huoni kama ni issue ya kiakili na kihisia
Gentleman,Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Natumaini jamiiforums ina watu wenye experience na ujuzi katika mambo mbalimbali,
Tatizo langu,
Nimerogwa na mpenzi,sasa siwezi kufanya mapenzi na mwanamke mwingine tofauti nayeye tu.
Nikiwa na yeye mashine inasimama safi tu,
Lakini nikiwa na mwanamke mwingine mashine haisimami na hata ikisimama nikitaka kuweka tu basi mashine inalala palepale,
Naombeni ushauri/msaada wa kuondokana na hii changamoto kiukweli inaumiza sana,
Kuliko nifanye maamuzi mabaya yanayo weza pelekea kunigharimu basi nimeona nije kwenu wakuu,
najua humu siwezi kosa msaada,
Labda kuna mtu alishawahi kupitia hiyo changamoto akafanikisha kutatua au alishuhudia mtu ana changamoto hiyo na akafanikisha kutatua,basi aniambie pakuanzia
Nb: kama unapata riziki kwenye pilika zako kuwa makini sana na hawa maslay queen wa mjini wenye njaanjaa🙏
Hata stori za vijiweni zipo pia.
Hiyo ni special case kwa baadhi ya wanyama nadhani umbwa na batambona hio situation huwa inatokea pia kwa wanyama especially dog's during mating
Kwa sababu nakukaza sana au sio?Nataka nikukomeshe uwe gasho mazima
Intelijensia hapo ni manii 100%Tumia mbinu kali za kiitelijensia kujua kakufunga na nini chupi au manii
Nawewe roga ifunge kila anapokutana na mpini mwingine isifunguke, kwisha habari.Intelijensia hapo ni manii 100%
Nifanyeje? Mkuu
namna ya kujikomboaKachukua nguo yako ya ndani ama manii zako kazifungamanisha na zake na kuzinenea.. Vumilia tu anakulinda usidhurike na vingi