Umefurahishwa na kipi Mkuu, umewahi kuwa muhanga nini wa hiyo caseHahaha nimecheka hatimae hahaha
Tumia mbinu kali za kiitelijensia kujua kakufunga na nini chupi au maniiMkuu nipe tiba ya hili jambo kiukweli inanitesa sana,nifanyeje ili nijinasue na hli🙏
Nipe namimi mbinu nimkomeshe mtu😂Tumia mbinu kali za kiitelijensia kujua kakufunga na nini chupi au manii
ulishawahi kuapply kwa mkeo ? maana wew ni mtaalamuImani za Kijadi na Kishirikina
Katika imani za kishirikina, watu wengi huamini kuwa inawezekana mwanamke (au mtu yeyote) akatumia mbinu za "ndele" au "vifungo" kumfanya mwanaume asitake kutoka nje. Hii mara nyingi huelezewa kama
Kumfunga mtu:
Kumfanya mwanaume apoteze hamu ya kwenda nje ya nyumbani au kukutana na marafiki, na badala yake kutaka kuwa na huyo mwanamke tu.
Kutuliza:
Mbinu zinazodaiwa kumfanya mwanaume awe "mnyonge" au "msikivu" kupita kiasi ili asifanye maamuzi yake mwenyewe.
tumeshiba pilau seran hatuna nguvu za kubishana
😂😂😂 utaua bendi weweNipe namimi mbinu nimkomeshe mtu😂
Kuna hio line ya mwisho hapo uliposema yeye anataka kumla tu wakati hajamuoa ndio paliponifanya nikacheka sio vinginevyo hayajawahi kunikuta hayo hata kidogoUmefurahishwa na kipi Mkuu, umewahi kuwa muhanga nini wa hiyo case
Hilo ni jambo binafsi sana siwezi kulijibu hapaulishawahi kuapply kwa mkeo ? maana wew ni mtaalamu
How it works?
hata pic huoni mkaliWhy me bwashee 😄
Mimi hapa narembua tu nisinzie ndugu yangu😂tumeshiba pilau seran hatuna nguvu za kubishana
HahahaVijana mmezidi, mnasimamia ukucha, mnawaonjesha utamu mabinti kisha mnawakimbia 🤣😂, binti hataki masihara kaamua kulala na ww kwenye kona
Na wewe kamroge, akigongwa na mwingine mashine inasie ndani mkuu.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Natumaini jamiiforums ina watu wenye experience na ujuzi katika mambo mbalimbali,
Tatizo langu,
Nimerogwa na mpenzi,sasa siwezi kufanya mapenzi na mwanamke mwingine tofauti nayeye tu.
Nikiwa na yeye mashine inasimama safi tu,
Lakini nikiwa na mwanamke mwingine mashine haisimami na hata ikisimama nikitaka kuweka tu basi mashine inalala palepale,
Naombeni ushauri/msaada wa kuondokana na hii changamoto kiukweli inaumiza sana,
Kuliko nifanye maamuzi mabaya yanayo weza pelekea kunigharimu basi nimeona nije kwenu wakuu,
najua humu siwezi kosa msaada,
Labda kuna mtu alishawahi kupitia hiyo changamoto akafanikisha kutatua au alishuhudia mtu ana changamoto hiyo na akafanikisha kutatua,basi aniambie pakuanzia
Nb: kama unapata riziki kwenye pilika zako kuwa makini sana na hawa maslay queen wa mjini wenye njaanjaa🙏