klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
anaweza akakeep mimba halaf akamwambia mume wake "honey miujiza ya yesu imejirudia"
Ha ha ha lol!!Majibu anayo mwenyewe
sema chochote unachofikiri
Hahaha tablet bana wengine asubui hi mbavu zauma tukicheka!anaweza akakeep mimba halaf akamwambia mume wake "honey miujiza ya yesu imejirudia"
Mshiki habari yapho? Mbona unazunguka sana? Ishu ishatokea hapa panaitaji suluu!Daa nashindwa kusema chochote Wit, kutokana na nafsi yangu ilivyolichukulia hili jambo. Kwanza kabisa nimeumia jinsi ambavyo huyu dada ameshindwa kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake,to me is very very bad kwa mwanamke kuwa hivo, Pili ni huo uovu unaotaka kutokea hapo wa kumwaga damu isiyo na hatia, tatu ni huyo mwanaume aliyekwenda mbali yawezekana kutafuta kwa ajili ya maisha yao, hasa kama atakuwa mwaminifu inauma sana.
Na huyo mwanaume aliyeacha mke wake akatembea na mke wa mwanaume mwenzie, kama huyo mke naye ni mwaminifu ataumia sana.
Jamii inayowazunguka, ndugu jamaa na marafiki wataumizwa na hili pia. Daaaaa we have to think before we overtake. Kama mwanadamu sina cha kusema mpaka sasa Lakini labda Rehema na huruma ya Mungu inaweza ikasaidia hapa, kwa sababu hakuna lisilowezekana kwake.
Ivi ishu kama hii ililetwa hapa na member mmoja, kwa ushauri anaweza ipitia hiyo. Ila kwa mimi hapa hakuna mjadala ni ku du ze nidi fuli tu! Naona watu wameanza kuclassify zambi hapa! Hii kubwa hii ndogo!
Mshiki habari yapho? Mbona unazunguka sana? Ishu ishatokea hapa panaitaji suluu!
usiteseke na situation ambayo ipo beyond repair.Sijambo kaka, suluhu lolote hapa kama sio kuikubali mimba na kukubaliana na chochote atakachokisema mume wake!! Lazima swala la UTU likae pembeni. Tunamsaidia shetani kazi kwa muda, halafu tutatubu sijui??? Binafsi inanitesa hii situation kaka.
Wat if ivyo vyote havijatokea maisha c yanasonga tena kwa raha mustarehe! Huwezi kulazimisha imani kwa mtu asie amini!Kaka Kimey what is the need full here?
Ok, what if akaitoa hiyo mimba halafu na yeye akapotea huko huko, What if akaitoa mimba na akaendelea kuachwa na huyo mumewe, What if akaitoa hiyo mimba akaharibika kabisa asiweze kuzaa tena. What if, what if?????
Daaaa UTU!!!!
nazani kwenye hii sredi mpaka sasa wewe ndio greti thinka pekee. kuna kesi hazihitaji ushauri bana ndio maana kuwa lawyer bongo ni kazi kuliko kuwa rais wa tunisia.Seriously what was she expecting alivyokuwa anakulana na huyo jamaa wake wa nje pekupeku bila vizuizi???alikuwa anategemea kupata kitambi tu cha kufanyia mazoezi kiishe au????pumbaf....afanye anachojua yeye na siku nyingine asije kukuomba ushauri anakupotezea muda huyo wako.......**&&&&&*****!!!!!!!!!!!!!!:angry:
Nawasalimu tena kwa mara ya pili wakubwa shikamooni wadogo habari zenu.
Wakubwa naombeni msaada wenu wa mawazo,kuna mdada rafiki yangu na jirani yangu pia mumewe yuko nje ya nchi mie sikujua kumbe ana mwanaume anacheat nae,na ktk uhusiano wao mdada amepata mimba anataka aitoe ili kunusuru ndoa yake,alipomshirikisha jamaa anaecheat nae kuwa waitoe hy mimba jamaa kamjia juu sana na kumwambia hakuna kutoa na wala hajawahi kufanya hivyo! Ajabu sasa jamaa nae ana mke na watoto wanne!kwa sasa jamaa amesitisha mawasiliano yote ya simu na email hadi facebook kablock kisa hataki mimba itolewe,huyu mdada kachanganyikiwa alifanya siri lkn juzi kati hapa ilibidi anishirikishe kutaka ushauri,naombeni mawazo yenu juu ya huu utata wa hawa wenye ndoa.
ningekuwa mod ningekutandika ban sekunde hii hii! akili unazo?Hii Mbona simple kama mimba bado ndogo atafute njia yoyote ya kukutana na mumewe ili amtafune sana halafu kama wiki hivi hata akirudi akimwambia kuwa ni ujauzito haitakuwa na shida kikubwa akienda clinic arudishe nyuma umri wa mtoto kwa ajili ya kuwianisha na muda aliokutana na huyo bwana wake baada ya hapo hakuna mgogoro na afutilie mbali kabisa na mahusiano ya huyo mume wa mtu.