Msaada wako: Dating life!

Msaada wako: Dating life!

Tafteni hela wadogo zangu....love and brokedness are two uncompatible things.

Ukitaka kuyafurahia maisha tafta hela kwa bidii alaf kuwa gentleman kwa watoto wazuri (usiwe na mkono mfupi na si lazima uwe na hela nyingi ka Mengi, Bill Gates etc.)

Ukiwa na hela hata kucheka unacheka kwa pause...u gotta learn to race in her mind and make sure u win.

I'm Out.
 
Tafteni hela wadogo zangu....love and brokedness are two uncompatible things.

Ukitaka kuyafurahia maisha tafta hela kwa bidii alaf kuwa gentleman kwa watoto wazuri (usiwe na mkono mfupi na si lazima uwe na hela nyingi ka Mengi, Bill Gates etc.)

Ukiwa na hela hata kucheka unacheka kwa pause...u gotta learn to race in her mind and make sure u win.

I'm Out.
Thank you!
You is one classic man nimekutana nae JF, wengine wao humu wanaongeaga vituko, wasaidie wadogo zako buana
 
Tafteni hela wadogo zangu....love and brokedness are two uncompatible things.

Ukitaka kuyafurahia maisha tafta hela kwa bidii alaf kuwa gentleman kwa watoto wazuri (usiwe na mkono mfupi na si lazima uwe na hela nyingi ka Mengi, Bill Gates etc.)

Ukiwa na hela hata kucheka unacheka kwa pause...u gotta learn to race in her mind and make sure u win.

I'm Out.


Haha, eti unacheka kwa pose
Hii ni kweli tho cos hata kuongea wanaongeaga kwa pose.
It's all about class.
 
Money Penny acha tu, ukutane na wale 'DISTINGUISHED' halafu awe kwenye stage ya ku settle. Hiyo care yake sasa, Wallah utajiona queen

Hebu nikasome side/main chick mie...
Inshort mtu ukiwa na ki IST au volks wagen golf na vihela vya dinner sijui lunch na gasoline. I'm telling u unaweza ukawa una hondomola watoto wakali balaa....watu lazima waseme una vijiti mfukoni.

Ni ujue tu ku play ur cards right, gentleness and sincere affection, simple but good casual wears, unyunyu wa kama 70K and sweet convesations.

Aaaargh, one needs to treat a woman in such a way dem akiwa stressed au kupitia challenge flan ana kukimbilia ww. Tehe

In my early twenties nilikua muoga sana wa these fine chicks but one day it all changed..after learning how its done.
 
Inshort mtu ukiwa na ki IST au volks wagen golf na vihela vya dinner sijui lunch na gasoline. I'm telling u unaweza ukawa una hondomola watoto wakali balaa....watu lazima waseme una vijiti mfukoni.

Ni ujue tu ku play ur cards right, gentleness and sincere affection, simple but good casual wears, unyunyu wa kama 70K and sweet convesations.

Aaaargh, one needs to treat a woman in such a way dem akiwa stressed au kupitia challenge flan ana kukimbilia ww. Tehe

In my early twenties nilikua muoga sana wa these fine chicks but one day it all changed..after learning how its done.
Heheheh, bra! Me naendesha discovery 4 naanzaje kudondoka kwako mwenye volkswagen au vits?!

Hata nikikubetia we hautakaa unikamate mimi! I have this confidence, you know am a classy bitch too

Labda wengine
 
Money Penny acha tu, ukutane na wale 'DISTINGUISHED' halafu awe kwenye stage ya ku settle. Hiyo care yake sasa, Wallah utajiona queen

Hebu nikasome side/main chick mie...
Ahahahahhaha, akyanani nimecheka mpaka boss kanikata jicho!
Umpate kama Papaa Mapene au Orijinal hauchomoki mweee!

Ila hao hawapatikani sasa huku chini chini kwetu kwa akina mashkolo mageni sijui wapi, mpaka uwapandie juu wamejaaje sasa 1st class planes na 1st class hotels, afu wapo single na divorces wana hela balaa

me nikiwaambiwa wadada wa JF wajiongeze wanakataaa ndio maana wanalia lia oh wanaume this! wanaume that! sasa kama hautaki kujiongeza si utawapata akina cheap thrillers wakulize mpaka uone rangi zote duniani?!

Kiru!
Embu me nikaandike stori ya saa 12 jioni mwe!
 
Back
Top Bottom