miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
hata sijui ila wanakujaga wenyewe
We nawe marafkizangu wanajua namba yangu ya simu so hawakushangaaSawa.. Ila hako ka hint ka fake no hukuwapa.. Watu wengine ni ma psycho
Ahahahaha nimecheka mwenyewe ofisini kweli english nomaHapo nimepata tu hilo la kupangilia rangi ya chupi na siku!!!![]()
Ahahahahaha leo nimecheka watu na english vepee?!Read maana yake kusoma au ulimaanisha nnnn?![]()
OkHuyu jamaa kasema nikivaa ya pink nimfate pm,ndo nikampa jibu hilo
Mwingine kaniuliza kwani malaya sio mwanamke,ndio nikamjibu hivyo
Meona ee, watu wengine wagumu kuelewa, may be wana slow mindOne of the best ways kufanya dating life iwe rahisi, is when you date for fun at the very beginning with nothing serious in mind. Jaribu kwanza kufahamu mtu/watu vizuri, tengeneza marafiki, make connections, enjoy the process and then if something serious comes up, let it be. If not, you will end up with new friends with no strings attached.
Ahahahaha RED ni ijumaaa na valentines day!Ikifka zam ya read naomba nkutoe out
Afu wakija unawakataahata sijui ila wanakujaga wenyewe
naangalia mwenye pesa namkubali huwa sikatai meAfu wakija unawakataa
We nawe!
Wenye pesa wanakujaga kama Yesu skuhizi, wachafu wachafu, wamechizika kidogo kichwani, mwe usitaki niongee hapa ntaandikia thread yake soonnaangalia mwenye pesa namkubali huwa sikatai me
mi na mambo yangu naangalia wale........ wanao kuwa smart sana swaga za nje kibao makapuku sanaWenye pesa wanakujaga kama Yesu skuhizi, wachafu wachafu, wamechizika kidogo kichwani, mwe usitaki niongee hapa ntaandikia thread yake soon
Be carefull
That's the best approach... ila inatakiwa kuweka your intentions clear.One of the best ways kufanya dating life iwe rahisi, is when you date for fun at the very beginning with nothing serious in mind. Jaribu kwanza kufahamu mtu/watu vizuri, tengeneza marafiki, make connections, enjoy the process and then if something serious comes up, let it be. If not, you will end up with new friends with no strings attached.
Aya my all the bestmi na mambo yangu naangalia wale........ wanao kuwa smart sana swaga za nje kibao makapuku sana
nawe piaAya my all the best
Mkuu huo mzigo ndani ya sare huwa unanimalizaga fa fa faaaa! Kuna hako kastrip ka geti la ikulu kanaonekana kwa mbali kwenye indicator ya kulia mashallah! Hivyo!uniform
Mkuu wewe ukipiga picha in 3D mode una cha kulindia mpunga kama huyo officer nilomuweka? Haya makitu yanatuporaga uwezo wa kufikiri sana sisi wenye jinsia tofauti atii!Aya my all the best
kula mizigo hiyoMkuu huo mzigo ndani ya sare huwa unanimalizaga fa fa faaaa! Kuna hako kastrip ka geti la ikulu kanaonekana kwa mbali kwenye indicator ya kulia mashallah! Hivyo!
Tatizo hawa ukigusa tu unakuta ni wa mkubwa...unaweza kuandikiwa kesi ya uhaini wakati kosa lako limebase kwenye traffic case!kula mizigo hiyo
kula kwa macho tu aiseeTatizo hawa ukigusa tu unakuta ni wa mkubwa...unaweza kuandikiwa kesi ya uhaini wakati kosa lako limebase kwenye traffic case!
Nikizidiwa natafuta equivalent!kula kwa macho tu aisee
haya haina shidaNikizidiwa natafuta equivalent!
Hahahahhha weweeHey lo!
Good day!
Basi mwaka jana April, nipo na my friends tuna chill Kunduchi Beach Hotel, wakawa wanalalamika, we Money Penny unapataje hawa Side Men?!
Sie hata hatuwapati, it's tough outta there!
Money Penny: nikajaribu kuwasaidia wakasema njia zangu zote wametumi,
Church= wameshaenda sana na kuombewa
Nikawaambia basi tuingie front muone mimi navyofanya kazi, tukapiga kazi tukadondoka Hyatt Regency si unanijua me mambo yangu ya classy, hotel ndogo ndogo sikai!
The way i carried myself, nilivyovaa, makeup kidogo ya kutach, simple bure sure si unajua tena Mungu alinisusia Mwili basi nikaja nao duniani ninsheedah!
Akaja kaka miaka 35, akanisalimia nikamjibu vizuri tu, marafiki wapo wanaskiliza, akaniambia dada naomba namba yako, nikampa, asante dada nimekupenda naweza kukutoa out?!
Money Penny: poa hamna shida
Kaka: nikutoe siku gani
Money Penny: what is your favourite color?!
Kaka: Blue
Money Penny: nikaanza kukumbuka chupi ya blue navaa siku gani, nikajua alhamisi, nikamwambia tuonane alhamisi
Alipoondoka mashoga wakauliza mama we mchawi au alhamisi ndio nini, baada ya kuwaeleza walicheka sana hawajawahi kuwaza kitu kama changu, dah! We Money Penny upo so creative, nikasmile!
To make the story short; all my friends are dating now, like serious dating wanaelekea kwenye ndoa
So nambie mwana JF, how is your dating life?! Je wanaume au wanawake wamekuwa wagumu kwako kupatikana au kirahisi tu?!
Unatumia approach gani kupata demu/men?!
Comment maujanja yako hapo chini tu share
Asante
Ahahahahaa nimecheka sanaTatizo hawa ukigusa tu unakuta ni wa mkubwa...unaweza kuandikiwa kesi ya uhaini wakati kosa lako limebase kwenye traffic case!
Biashara ya kondoo mkia bhana...kwa wachinjaji tunalifahamu hili!Ahahahahaa nimecheka sana
That's the best approach... ila inatakiwa kuweka your intentions clear.