Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,117
- 1,249,278
Wanawake wanaojiuza kwa hiari yao sipo humu kujiuza
mb
ona povu mkuu, kwani hao malaya si wanawake/?
mb
ona povu mkuu, kwani hao malaya si wanawake/?
Upo vzr utadumuHey lo!
Good day!
Basi mwaka jana April, nipo na my friends tuna chill Kunduchi Beach Hotel, wakawa wanalalamika, we Money Penny unapataje hawa Side Men?!
Sie hata hatuwapati, it's tough outta there!
Money Penny: nikajaribu kuwasaidia wakasema njia zangu zote wametumi,
Church= wameshaenda sana na kuombewa
Nikawaambia basi tuingie front muone mimi navyofanya kazi, tukapiga kazi tukadondoka Hyatt Regency si unanijua me mambo yangu ya classy, hotel ndogo ndogo sikai!
The way i carried myself, nilivyovaa, makeup kidogo ya kutach, simple bure sure si unajua tena Mungu alinisusia Mwili basi nikaja nao duniani ninsheedah!
Akaja kaka miaka 35, akanisalimia nikamjibu vizuri tu, marafiki wapo wanaskiliza, akaniambia dada naomba namba yako, nikampa, asante dada nimekupenda naweza kukutoa out?!
Money Penny: poa hamna shida
Kaka: nikutoe siku gani
Money Penny: what is your favourite color?!
Kaka: Blue
Money Penny: nikaanza kukumbuka chupi ya blue navaa siku gani, nikajua alhamisi, nikamwambia tuonane alhamisi
Alipoondoka mashoga wakauliza mama we mchawi au alhamisi ndio nini, baada ya kuwaeleza walicheka sana hawajawahi kuwaza kitu kama changu, dah! We Money Penny upo so creative, nikasmile!
To make the story short; all my friends are dating now, like serious dating wanaelekea kwenye ndoa
So nambie mwana JF, how is your dating life?! Je wanaume au wanawake wamekuwa wagumu kwako kupatikana au kirahisi tu?!
Unatumia approach gani kupata demu/men?!
Comment maujanja yako hapo chini tu share
Asante
Ahahahhaha nimechekaView attachment 490733
Aproach nayotumia ni kujitafutia makosa ya barabarani...try this one utaniambia!
Yeleuuuwi rafki angu unajiharibu utaishia kuea hanisi weeeee! Acha weeee!Me sabuni tyu ni kitendo cha kwenda dukani na kununua kisha narudi gheto
Ahahahahaha, sasa si uwe mwanamke basi we si mwanaume au?! Wanaume nyie zenu si 3 tu, black, kijivu na blue hehe! Sasa siku za wiki ni siku 7 itakuwaje labda hapo sa?! HeheheAiseee kumbe underwear zina mambo mengi. Ngoja nipange ratiba ya blue,pink etc na siku zake.
Kiru! Ila unatongozwa sio?!Sijawahi kutongoza.
Kiru! Kwanini jamaa?!Mh. Huku sio kwangu
Hahahahaha, ngumu kumeza bro!Pink ukiiva uni pm
Asante boss, AmenUpo vzr utadumu
Ivi nani anajiuza me sikuelewi ujue?!Wanawake wanaojiuza kwa hiari yao sipo humu kujiuza
Hapa sijakuelewa though! Like una maanisha nini labda?!Sio kila mwanamke ni malayaView attachment 490736
So you give your no to any dude that vibes you?Hey lo!
Good day!
Basi mwaka jana April, nipo na my friends tuna chill Kunduchi Beach Hotel, wakawa wanalalamika, we Money Penny unapataje hawa Side Men?!
Sie hata hatuwapati, it's tough outta there!
Money Penny: nikajaribu kuwasaidia wakasema njia zangu zote wametumi,
Church= wameshaenda sana na kuombewa
Nikawaambia basi tuingie front muone mimi navyofanya kazi, tukapiga kazi tukadondoka Hyatt Regency si unanijua me mambo yangu ya classy, hotel ndogo ndogo sikai!
The way i carried myself, nilivyovaa, makeup kidogo ya kutach, simple bure sure si unajua tena Mungu alinisusia Mwili basi nikaja nao duniani ninsheedah!
Akaja kaka miaka 35, akanisalimia nikamjibu vizuri tu, marafiki wapo wanaskiliza, akaniambia dada naomba namba yako, nikampa, asante dada nimekupenda naweza kukutoa out?!
Money Penny: poa hamna shida
Kaka: nikutoe siku gani
Money Penny: what is your favourite color?!
Kaka: Blue
Money Penny: nikaanza kukumbuka chupi ya blue navaa siku gani, nikajua alhamisi, nikamwambia tuonane alhamisi
Alipoondoka mashoga wakauliza mama we mchawi au alhamisi ndio nini, baada ya kuwaeleza walicheka sana hawajawahi kuwaza kitu kama changu, dah! We Money Penny upo so creative, nikasmile!
To make the story short; all my friends are dating now, like serious dating wanaelekea kwenye ndoa
So nambie mwana JF, how is your dating life?! Je wanaume au wanawake wamekuwa wagumu kwako kupatikana au kirahisi tu?!
Unatumia approach gani kupata demu/men?!
Comment maujanja yako hapo chini tu share
Asante
Namba naweza kutoa lakini isiwe namba yangu kabisa kwani shida iko wapi?!So you give your no to any dude that vibes you?
Sawa.. Ila hako ka hint ka fake no hukuwapa.. Watu wengine ni ma psychoNamba naweza kutoa lakini isiwe namba yangu kabisa kwani shida iko wapi?!
Plus i was teaching them girls techniques to conqure 'Em Men!
Umemuelewa vibayaSio kila mwanamke ni malayaView attachment 490736
Ikifka zam ya read naomba nkutoe outAiseee kumbe underwear zina mambo mengi. Ngoja nipange ratiba ya blue,pink etc na siku zake.
Umemuelewa vibaya
Read maana yake kusoma au ulimaanisha nnnn?usser, post: 20491055, member: 327659"]Ikifka zam ya read naomba nkutoe out


Hapa sijakuelewa though! Like una maanisha nini labda?!
Asante boss, Amen
Ivi nani anajiuza me sikuelewi ujue?!
Kwani kwenda pm ndo sign ya umalaya?Wewe umemuelewaje?
Kwani kwenda pm ndo sign ya umalaya?
uniformView attachment 490733
Aproach nayotumia ni kujitafutia makosa ya barabarani...try this one utaniambia!