mkuu ukipata UPS ya 2000VA inaweza kubeba hizo computer tano bila shida yoyote....ila kama unataka ibebe kwa muda mrefu tafuta kubwa zaidi nenda duka lolote la computer utapata
Pamoja na hiyo ya 2000VA unahijati kuwa na external batteries. Hivyo vibetri vilivyomo ndani ya UPS vina AH ndogo sana. Nakushauri tafuta battery za 150AH 12V na kama hiyo UPS ina input ya 24V the pata betri 2 unga in series na utakuwa na 150AH 24V connected to UPS your UPS. Nijuwacho komputa nyingi hazizidi 4A kwa hiyo kwa komputa 5 then you have 4X5=20A. Hivyo basi 150AH/20A = 7.5 hour. Take 60% of 7.5H = 4.5 hour. Hii ina maana utakuwa na uwezo wa kukaa na umeme huo wa UPS kwa masaa manne wakati komputa zikiwa full operational. Hence the more the AH capacity of your batteries, the more the backup time, but the limit is the charging capacity og your UPS.thanx mkuu ngoja nikaitafute hi uliyoniambia.tatizo ni umeme unapanda na kushuka kila dakika mpaka computer zinazimazima so nafikiri hiyo itanifaa maana umeme haukatiki ila kuna muda unapungua hadi zinazima..thanx mkuu
Pamoja na hiyo ya 2000VA unahijati kuwa na external batteries. Hivyo vibetri vilivyomo ndani ya UPS vina AH ndogo sana. Nakushauri tafuta battery za 150AH 12V na kama hiyo UPS ina input ya 24V the pata betri 2 unga in series na utakuwa na 150AH 24V connected to UPS your UPS. Nijuwacho komputa nyingi hazizidi 4A kwa hiyo kwa komputa 5 then you have 4X5=20A. Hivyo basi 150AH/20A = 7.5 hour. Take 60% of 7.5H = 4.5 hour. Hii ina maana utakuwa na uwezo wa kukaa na umeme huo wa UPS kwa masaa manne wakati komputa zikiwa full operational. Hence the more the AH capacity of your batteries, the more the backup time, but the limit is the charging capacity og your UPS.
Haina majotrodah thanx sana mkuu yani hapa umenipa darasa ambalo nisingeweza kulipata popote.thanx sana n b blessd
Ni kuwa kuna tofauti ya power consumption kati ya hizo ulizozitaja, lakini you can still help this person by doing your homework by thinking of the one that consumes more than the rest. Kama alizonazo ni ndogo kwa ulaji umeme itakuwa nzuri zaidi kwakeComputer tano ndio nini? ongea more technically so that you shall be helped. laptop? desktop? monitor ni LCD AU CRT? kwani kuna tofauti kubwa sana kwa kula umeme baina ya mambo hayo.
Computer tano ndio nini? ongea more technically so that you shall be helped. laptop? desktop? monitor ni LCD AU CRT? kwani kuna tofauti kubwa sana kwa kula umeme baina ya mambo hayo.
Ni kuwa kuna tofauti ya power consumption kati ya hizo ulizozitaja, lakini you can still help this person by doing your homework by thinking of the one that consumes more than the rest. Kama alizonazo ni ndogo kwa ulaji umeme itakuwa nzuri zaidi kwake