Msaada wa ufafanuzi katika ujenzi wa ghorofa moja

Mkuu kama baada ya ghorofa moja nikapaua mabati badala ya kuwaga zege je gharama itafika huko 100m?
nina kiwanja Mlimani natamani hiyo ramani ya ghorofa la kupaua
Kwa standard house,ambayo may be juu ikawa na chumba na sebule na chini kuwa na vyumba Milioni 100.Inafika na kuweza kuzidi.

.Ingawaje kwa swali lako siwezi kuwa na jibu la moja kwa moja kwani inategemeana na ramani yako

Isije ikawa aina ya nyumba unayotaka juu chumba kimoja chini kimoja.hiyo inaweza isifike mil100.hahaha!
 
Mkuu kama baada ya ghorofa moja nikapaua mabati badala ya kuwaga zege je gharama itafika huko 100m?
nina kiwanja Mlimani natamani hiyo ramani ya ghorofa la kupaua
Kwa issue ya hiyo ramani,niinbox.

Tuzungumze.Nikuandalie michoro.
 
Mkuu nimekuelewa ngoja nijikusanye, maana nina kamchoro kangu nitakutumia ipo siku u-design vizuri
Vipi mtaalam.
Ulipata muafaka.. maana hapa nina wazo kama lako la kujenga ghorofa 1 simple la makazi. Kiwanja ninacho 522sqm flat ila hela ya kuanzia ndio ya kujichanga mdogomdogo. Yaani nikisema nianze January 2022 nadhani nitamaliza 2029 huko. Hapo ni ku assume kuwa mzima, afya tele na income iongezeke.
Ila nikiona hayo mahesabu nakata tamaa kabisa.
 
Vipi mtaalam.
Ulipata muafaka.. maana hapa nina wazo kama lako la kujenga ghorofa 1 simple la makazi. Kiwanja ninacho 522sqm flat ila hela ya kuanzia ndio ya kujichanga mdogomdogo. Yaani nikisema nianze January 2022 nadhani nitamaliza 2029 huko. Hapo ni ku assume kuwa mzima, afya tele na income iongezeke.
Ila nikiona hayo mahesabu nakata tamaa kabisa.
Hata mm nimekata tamaa kwa mwaka huu wa 2021
ila nitauza mashamba km mawili huko porini Mama akiwaka hela za tozo ili na mm nilale angalau juu ya nyumba hata room moja juu ya dari
si unajua tena kaburi wanachimba kwenda chini ndio tutalala maisha yetu yaliyobaki
au wenyewe mnasemaje mtabaki juu ya ardhi tu bila kwenda juu au chini?
 
Hata mm nimekata tamaa kwa mwaka huu wa 2021
ila nitauza mashamba km mawili huko porini Mama akiwaka hela za tozo ili na mm nilale angalau juu ya nyumba hata room moja juu ya dari
si unajua tena kaburi wanachimba kwenda chini ndio tutalala maisha yetu yaliyobaki
au wenyewe mnasemaje mtabaki juu ya ardhi tu bila kwenda juu au chini?
Nimepiga hesabu hapa kuwa kwa mwezi ni fight atleast nipate 1.5m ya uhakika itahitaji miaka 7 yaani miezi 84 kufikisha 126m ambayo ndio kighorofa kitaonekana. Duh..
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5)...
Dondosha na namba yako pia tukutafute
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
Wastani wa nondo ni kiasi gani na garama za ufundi kwa stages?
1. Kuchimba msingi
2. Kufanya settings
3. Kusimamisha msingi
4. Kunyanyua
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
Mkuu Vipi kama najenga kwa awamu, awamu ya kwanza kabisa walau ikomee wapi?
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
Umeeleza vizuri, japo kumsaidia zaidi huyu mleta mada, anahitaji ghorofa chini kasebule sio sebule na juu chumba kimoja na velanda ya kupunga upepo. Kama video inavyoonyesha.
Sasa tumkadilie, chumba 1 nguzo 4 na ngazi nondp ngapi kijana ajenge
 
Kwa issue ya hiyo ramani,niinbox.

Tuzungumze.Nikuandalie michoro.
Kwanza mshauri hapa, ushauri anaoutaka ndio avutiwe na kukupa kazi usikimbilie huko. Sie waafrika tuna tatizo kubwa.
Kuna kazi imetoka, interview ya kazi ndio hiyo hapo mleta mada katoa. Sasa Wewe unaona ulichoandika hapo ndio jibu sahihi kwa hiyo interview, kiasi kwamba akupe kazi!?! Hapo kazi watapewa waliomridhisha takwa la awali, na sie wengine wapita njia kwa majibu yako tunaweza kukupa kazi vile vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom