Msaada wa ufafanuzi katika ujenzi wa ghorofa moja

BradFord93

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
910
2,164
Kila mtu ana dream yake

Muda mrefu saana niliona nyumba mbali mbali walizojenga watu lakini kiukweli hazikunishtua mshipa ht kidogo

Sasa hivi karibuni tiktok niliona jengo fulani simple...ghorofa moja (hili kwakweli ilinipa hisia ya kuwa lazima nijenge kama hivi...japo kuna marekebisho kidoogo ntafanya).

Sasa naomba kupata mawazo yenu
1. Msingi wa ghorofa unatakiwa uweje
2. Kiwanja husika kinatakiwa kiwe kwenye hali gani

Naomba msaada wenu

Video

 
Kila mtu ana dream yake

Muda mrefu saana niliona nyumba mbali mbali walizojenga watu lakini kiukweli hazikunishtua mshipa ht kidogo

Sasa hivi karibuni tiktok niliona jengo fulani simple...ghorofa moja (hili kwakweli ilinipa hisia ya kuwa lazima nijenge kama hivi...japo kuna marekebisho kidoogo ntafanya).

Sasa naomba kupata mawazo yenu
1. Msingi wa ghorofa unatakiwa uweje
2. Kiwanja husika kinatakiwa kiwe kwenye hali gani

Naomba msaada wenu

Video

View attachment 1842396
Ghorofa lina cost zaidi ya 100million, usione ubaili kutoa walau 1mil au 2mil utafute achitect akuchoree jengo lako na usione ubahili kutoa pesa ili upate injinia wa kukufanyie usanifu wa nondo na zege zinazotakiwa kwa ajili jengo lako...

Kulipa injinia akufanyie usanifu ni gharama ndogo kuliko gharama ya kuangukiwa na ghorofa.
 
Hio ghorofa ni chumba na sebule. Yaani ili mradi ana ghorofa. Au alikuwa na kieneo kidogo sana kisingetosha chumba na sebule.
Lengo kuu la ghorofa ni SQM nyingi kwenye eneo dogo. Pia nyumba ya chini ya SQM nyingi haipendezi ndio maana ghorofa ni option nzuri.
 
Hio ghorofa ni chumba na sebule. Yaani ili mradi ana ghorofa. Au alikuwa na kieneo kidogo sana kisingetosha chumba na sebule.
Lengo kuu la ghorofa ni SQM nyingi kwenye eneo dogo. Pia nyumba ya chini ya SQM nyingi haipendezi ndio maana ghorofa ni option nzuri.
Yeah n kulingana na kiwanja plus hali pia..!!
 
Kila mtu ana dream yake

Muda mrefu saana niliona nyumba mbali mbali walizojenga watu lakini kiukweli hazikunishtua mshipa ht kidogo

Sasa hivi karibuni tiktok niliona jengo fulani simple...ghorofa moja (hili kwakweli ilinipa hisia ya kuwa lazima nijenge kama hivi...japo kuna marekebisho kidoogo ntafanya).

Sasa naomba kupata mawazo yenu
1. Msingi wa ghorofa unatakiwa uweje
2. Kiwanja husika kinatakiwa kiwe kwenye hali gani

Naomba msaada wenu

Video

View attachment 1842396
tafuta archtect
 
Ila natamani sana waTanzania tungejifunza kutegemea watalaam kwenye shughuli zetu. Unakuta mtu anajenga nyumba ya bajeti milion 100, lakini ukimwambia amshirikishe architect au engineer hataki.

Cheap is expensive!
 
Kila mtu ana dream yake

Muda mrefu saana niliona nyumba mbali mbali walizojenga watu lakini kiukweli hazikunishtua mshipa ht kidogo

Sasa hivi karibuni tiktok niliona jengo fulani simple...ghorofa moja (hili kwakweli ilinipa hisia ya kuwa lazima nijenge kama hivi...japo kuna marekebisho kidoogo ntafanya).

Sasa naomba kupata mawazo yenu
1. Msingi wa ghorofa unatakiwa uweje
2. Kiwanja husika kinatakiwa kiwe kwenye hali gani

Naomba msaada wenu

Video

View attachment 1842396
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M
Maelezo mazuri na kwa mtiririko unaoeleweka. Je wewe ni fundi? Kama ndiyo, unajihusisha na kampuni gani?.
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

Jf ni shule
Maxence Melo Ahsante kwa zawadi hi.

MoseeYM uko safi
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
Useful safi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom