Hivi hili tunda ka msitafeli linapatikana mkoa gani kwa wingi maana naona hili tunda ni adimu sanaKAPIGE MSTAFERI NA MLONGE,MLONGE MTAFUTE HUYU JAMAA 0787986992
lipo baadhi ya mikoa hasa yenye baridi ila hata huku pwani yapo ila watafiti wanasema sio stafeli halisi,yale yenye mibamiba makubwa hivi but stafeli haliko hivoHivi hili tunda ka msitafeli linapatikana mkoa gani kwa wingi maana naona hili tunda ni adimu sana
Hapa chato yapo mengi sana mastafeli da hii ndo raha ya kutumia mitandaon vizur itabid nianze kutumia tu kama kingalipo baadhi ya mikoa hasa yenye baridi ila hata huku pwani yapo ila watafiti wanasema sio stafeli halisi,yale yenye mibamiba makubwa hivi but stafeli haliko hivo
Kuna jamaa ailikuwa ananiambia kuwa ilivuja ripot kutoka kwa ma researcher walio kuwa wanatafiti tiba ya cancer,stafeli lilishika chat ya juu sana,mkuu kula stafeli kadri uwezavyoHapa chato yapo mengi sana mastafeli da hii ndo raha ya kutumia mitandaon vizur itabid nianze kutumia tu kama kinga
Mkuu hata asali au sukari ya kwenye matundaKunywa chai itokanayo na majani ya stafeli, asubuhi, mchana, na usiku! Punguza au achana na vitu vitamu kwani ni vichocheo vya saratani!
Tatizo stafeli kulikuta sokoni ni issue aisee, mengi yanaishia nyumbani maana hata mie nlikuwa na kamti kangu enzi nipo kulakulala kwa mama na nilivyoanza maisha nikawa nao mti, usipotoa matunda na mie ndo mwisho wa kula mstafeli. Anyway itabidi tuanze kula kwa fujo sasaKuna jamaa ailikuwa ananiambia kuwa ilivuja ripot kutoka kwa ma researcher walio kuwa wanatafiti tiba ya cancer,stafeli lilishika chat ya juu sana,mkuu kula stafeli kadri uwezavyo
Vipi mafuta yanayopatikana kwenye maziwa(milk cream)au maziwa kiujumla yanasababisha bad cholestrol?halafu usinywe maziwa tena kabisa ni mbolea ya cancer ! chai ya maziwa,sukari maziwa fresh au product zake achana nazo kabisa ni mbolea ya cancer hyo
kama jamaa hajaoa anioe nikamtunze hadi apone
iyo bangi ondoa kabisa, haitibu cancer; Bob Marley alikua anakula mmea balaa lakini cancer ikamuua tena mapema sana!
Huu ugonjwa umekuwa common kwa sasa. Taarifa unazopata uzichuje vizuri. Matapeli ni wengi mno. Hilo la stafeli nimeshasikia, pengine inaweza kukufaa.Wakuu nawasalimu wote.Bila kuwachosha niende kwenye mada iliyonifanya kuhitaji msaada wa mawazo yenu.Ni kwamba nimegundulika nina cancer ya ini iliyosababishwa na hepatitis B na hapa nilipo ninaendelea na
dawa aina ya Sorafenib.Cancer hii imeshasambaa kwenye lymph nodes kwa yoyote anayejua tiba mbadala naomba anisaidie.
Nakaribisha pia ushauri na mawazo mbalimbali.
Nawasilisha.
ahaaaa nimecheka sana .Jamani mboga mboga ni hatari miezi 3 iliyopita nilikuwa nakura mboga za majani kila siku na kwenye kila mulo.nilikuwa nazipika bila kuunga chochite hata chumvi siweki baada ya muda nilianza kuumwa kichwa kwenda hospital wakaniambia nina damu nyingi kupita kiasi,doctor akaniambie nipunguze kula mboga mboga
Kweli duniani kila kitu kina faida na hasara
Mkuu pia ngoja nikushauri kitu,kuna ndugu yangu alikua anaumwa kansa ya damu stage ya mwisho ,na kupima kiukwel ilikua nadra sn kupona tuliambiwa mda wwte ni atatutoka,akaanza kubadilisha mfumo wake wa maisha,akaanza kula sana mbogamboga tu,alaf ilikua siku nzima anakunywa juice ya carrot tu ,alikua kwa siku anakunywa ata lita tano ya juice fresh ya carrot bila kutiwa maji wala sukar,unasaga ktk zile mashine zao special,na mazoez alikua anafanya ,na ayo mastafel uliombiwa alikua ndo anakula,mkuu huwez kuamin alikuja kupona bila kutumia dawa yyt wakat mwanzo tulikua tumeshamkatia tamaa,asaiv yupo mzimaa bukheriii hana cancer wala chochote yumzimaa kama wengine.
NAUZA DAWA ZA SARATANI (CANCER) ZA KUTOKA USA,Huu ugonjwa umekuwa common kwa sasa. Taarifa unazopata uzichuje vizuri. Matapeli ni wengi mno. Hilo la stafeli nimeshasikia, pengine inaweza kukufaa.
DSM KARIAKOO SOKONI YAPO YA KUMWAGA YANATOKA KUSINI HUKOHivi hili tunda ka msitafeli linapatikana mkoa gani kwa wingi maana naona hili tunda ni adimu sana