Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

go vegan mkuu tumia maji ya kawaida kunywa ,tumia vile Rastafarian wanapenda kula.mungu yuko pamoja nawe katika vita hivyo vya ugonjwa na inshaallah utashinda
 
Pole sana mkuu, wengi wameshatoa ushauri. Sina la kuongeza ila ni kukuombea Mungu Ashushe nguvu za uponyaji juu yako! Ninaamini kabisa ya kwamba utapata huduma ya tiba mbadala na utapona!
Ahsante sana mkuu
 
Mwenyezi mungu akupe moyo wa subra uweze kunywa hizo dawa na upone. Kansa ni janga la kitaifa jamani. Allah akufanyie wepesi ndugu yangu upone.
 
Mkuu pia ngoja nikushauri kitu,kuna ndugu yangu alikua anaumwa kansa ya damu stage ya mwisho ,na kupima kiukwel ilikua nadra sn kupona tuliambiwa mda wwte ni atatutoka,akaanza kubadilisha mfumo wake wa maisha,akaanza kula sana mbogamboga tu,alaf ilikua siku nzima anakunywa juice ya carrot tu ,alikua kwa siku anakunywa ata lita tano ya juice fresh ya carrot bila kutiwa maji wala sukar,unasaga ktk zile mashine zao special,na mazoez alikua anafanya ,na ayo mastafel uliombiwa alikua ndo anakula,mkuu huwez kuamin alikuja kupona bila kutumia dawa yyt wakat mwanzo tulikua tumeshamkatia tamaa,asaiv yupo mzimaa bukheriii hana cancer wala chochote yumzimaa kama wengine.
Enx Arabian queen umetuxaidia weng kwa hlo
 
0655562854 Wasiliana naye,utapata juisi ya TREVO ,angalia kwenye mtandao TREVO
 
Hakuna saratani isiyotibika duniani, hizo dawa unazokunywa hazitibu ila zina badilisha DNA ya seli zako ili kukuandaa na maradhi mengine mengi baadae huko. Bila shaka saratani hiyo uliipata kwa vile umetumia sana kemikali nyingi kama pombe au too much protein au dawa za hospitali. Tiba yako ni very easy ni chakula tu aina ya matunda na mboga with less starch.
Jaribu kuepuka flesh foods.
 
Wakuu nawasalimu wote.Bila kuwachosha niende kwenye mada iliyonifanya kuhitaji msaada wa mawazo yenu.Ni kwamba nimegundulika nina cancer ya ini iliyosababishwa na hepatitis B na hapa nilipo ninaendelea na
dawa aina ya Sorafenib.Cancer hii imeshasambaa kwenye lymph nodes kwa yoyote anayejua tiba mbadala naomba anisaidie.
Nakaribisha pia ushauri na mawazo mbalimbali.
Nawasilisha.
Kunywa chai itokanayo na majani ya stafeli, asubuhi, mchana, na usiku! Punguza au achana na vitu vitamu kwani ni vichocheo vya saratani!
 
Back
Top Bottom