Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,467
- 9,007
Korintoboy, vipi maendeleo yako?
Tupe mrejesho kama kuna tiba iliyokusaidia.
Pole sana Mkuu.
-Kaveli-
Tupe mrejesho kama kuna tiba iliyokusaidia.
Pole sana Mkuu.
-Kaveli-
Tumia high dosage of vitamin C!Wakuu nawasalimu wote.Bila kuwachosha niende kwenye mada iliyonifanya kuhitaji msaada wa mawazo yenu.Ni kwamba nimegundulika nina cancer ya ini iliyosababishwa na hepatitis B na hapa nilipo ninaendelea na
dawa aina ya Sorafenib.Cancer hii imeshasambaa kwenye lymph nodes kwa yoyote anayejua tiba mbadala naomba anisaidie.
Nakaribisha pia ushauri na mawazo mbalimbali.
Nawasilisha.
Mtoa mada,unaendeleaje na hali?
This sunday ,my beloved sister has passed away from the same case. [emoji24]
Pole sana mkuu. Kansa ni nyoko mkuu. Nilipoteza mke wangu kipenzi last year.Mtoa mada,unaendeleaje na hali?
This sunday ,my beloved sister has passed away from the same case. [emoji24]
Eee pole sanaPole sana mkuu. Kansa ni nyoko mkuu. Nilipoteza mke wangu kipenzi last year.
Mkuu acha kuchanganya ukweli na propaganda, we unakataa bangi haitibu kwa sababu ya Bob kuivuta?iyo bangi ondoa kabisa, haitibu cancer; Bob Marley alikua anakula mmea balaa lakini cancer ikamuua tena mapema sana!
iyo bangi ondoa kabisa, haitibu cancer; Bob Marley alikua anakula mmea balaa lakini cancer ikamuua tena mapema sana!
iyo bangi ondoa kabisa, haitibu cancer; Bob Marley alikua anakula mmea balaa lakini cancer ikamuua tena mapema sana!
Ushuhuda kama huu ni uponyaji kwa mioyo iliyopondeka kwa magonjwa.Mkuu pia ngoja nikushauri kitu,kuna ndugu yangu alikua anaumwa kansa ya damu stage ya mwisho ,na kupima kiukwel ilikua nadra sn kupona tuliambiwa mda wwte ni atatutoka,akaanza kubadilisha mfumo wake wa maisha,akaanza kula sana mbogamboga tu,alaf ilikua siku nzima anakunywa juice ya carrot tu ,alikua kwa siku anakunywa ata lita tano ya juice fresh ya carrot bila kutiwa maji wala sukar,unasaga ktk zile mashine zao special,na mazoez alikua anafanya ,na ayo mastafel uliombiwa alikua ndo anakula,mkuu huwez kuamin alikuja kupona bila kutumia dawa yyt wakat mwanzo tulikua tumeshamkatia tamaa,asaiv yupo mzimaa bukheriii hana cancer wala chochote yumzimaa kama wengine.
Cancer cells zina grow kwenye mazingira ya ACID na SUKARI (artificial)Mkuu pia ngoja nikushauri kitu,kuna ndugu yangu alikua anaumwa kansa ya damu stage ya mwisho ,na kupima kiukwel ilikua nadra sn kupona tuliambiwa mda wwte ni atatutoka,akaanza kubadilisha mfumo wake wa maisha,akaanza kula sana mbogamboga tu,alaf ilikua siku nzima anakunywa juice ya carrot tu ,alikua kwa siku anakunywa ata lita tano ya juice fresh ya carrot bila kutiwa maji wala sukar,unasaga ktk zile mashine zao special,na mazoez alikua anafanya ,na ayo mastafel uliombiwa alikua ndo anakula,mkuu huwez kuamin alikuja kupona bila kutumia dawa yyt wakat mwanzo tulikua tumeshamkatia tamaa,asaiv yupo mzimaa bukheriii hana cancer wala chochote yumzimaa kama wengine.
Ungeorodhesha mkuu vyakula vya alkali ili watu wajueCancer cells zina grow kwenye mazingira ya ACID na SUKARI (artificial)
Kula vyakula vyenye ALKALI kwa wingi na visivyo na sukari za vuwandani.
yake ilianzia kwenye kizazi ikasambaa hadi kwenye Ini.Poleni sana.. kansa ya ini ya Sister ilisababishwa na virusi vya hepatitis ama ilisababishwa na nini?
Pole sana mkuu, kwa kweli inaumiza sanaPole sana mkuu. Kansa ni nyoko mkuu. Nilipoteza mke wangu kipenzi last year.
Pole sana mkuu, kwa kweli inaumiza sanaPole sana mkuu. Kansa ni nyoko mkuu. Nilipoteza mke wangu kipenzi last year.
Na thyroids inatibikajeMkuu acha kuchanganya ukweli na propaganda, we unakataa bangi haitibu kwa sababu ya Bob kuivuta?
Bangi unachemsha mzizi alafu unachanganya na majani ya staferi au ? Mimi nilikunywa supu ya majani ya mstaferi kilichofuata najua mwenyeweStaferi pamoja na bangi nasikia zinaondoa cancer
Ilikuwaje ?Bangi unachemsha mzizi alafu unachanganya na majani ya staferi au ? Mimi nilikunywa supu ya majani ya mstaferi kilichofuata najua mwenyewe