Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

Nitumie juice ya carrot kwa muda gani mkuu?
Tumia siku zote ,kila siku,ndugu yangu alitumia ndani ya miez mitatu tu alijiona tofauti kabisaaa,mwili wake ulianza kujirud hali yake ya kawaida mpk ngozi,alipoenda kupima akaulizwa umetumia dawa gan mbn vipimo vinaonesha hamna ugonjwa,ndo akawaambia alivofanya kua ktk kipind chote iko ilikua yy ni vyakula vya mboga mboga tu na kwa siku lazma juice ya karot lita tano nzima,na mazoez anafanya kama kawaida na ayo mastafel anakula,lknaliacha kula vyakula vya sukar kipind iko,aliacha vyakula vya mafuta kabisaa,yy ilikua ni mwendo wa juice ya karot tu,ukiambiwa unahis kama masihara kwa jinsi alivopona na kitu kdg tu ni juice ya carrot.ndo ivo mkuu
 
Mkuu pia ngoja nikushauri kitu,kuna ndugu yangu alikua anaumwa kansa ya damu stage ya mwisho ,na kupima kiukwel ilikua nadra sn kupona tuliambiwa mda wwte ni atatutoka,akaanza kubadilisha mfumo wake wa maisha,akaanza kula sana mbogamboga tu,alaf ilikua siku nzima anakunywa juice ya carrot tu ,alikua kwa siku anakunywa ata lita tano ya juice fresh ya carrot bila kutiwa maji wala sukar,unasaga ktk zile mashine zao special,na mazoez alikua anafanya ,na ayo mastafel uliombiwa alikua ndo anakula,mkuu huwez kuamin alikuja kupona bila kutumia dawa yyt wakat mwanzo tulikua tumeshamkatia tamaa,asaiv yupo mzimaa bukheriii hana cancer wala chochote yumzimaa kama wengine.
Satuuuu
 
Pole sana mkuu,jaribu kuwasiliana na wataalamu wa tiba mbadala wapo pale muhimbili.
 
Pole sana mkuu, wengi wameshatoa ushauri. Sina la kuongeza ila ni kukuombea Mungu Ashushe nguvu za uponyaji juu yako! Ninaamini kabisa ya kwamba utapata huduma ya tiba mbadala na utapona!
 
Back
Top Bottom