Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

iyo bangi ondoa kabisa, haitibu cancer; Bob Marley alikua anakula mmea balaa lakini cancer ikamuua tena mapema sana!

Bob aliwekewa nail kwenye converse shoe aliyoletewa na aliyejifanya mwandishi wa habari aliyetaka kumhoji kumbe ni System so bangi na cancer ya Bob haviingiliani
 
Wakuu nawasalimu wote.

Bila kuwachosha niende kwenye mada iliyonifanya kuhitaji msaada wa mawazo yenu.

Ni kwamba nimegundulika nina cancer ya ini iliyosababishwa na hepatitis B na hapa nilipo ninaendelea na dawa aina ya Sorafenib.

Cancer hii imeshasambaa kwenye lymph nodes kwa yoyote anayejua tiba mbadala naomba anisaidie.

Nakaribisha pia ushauri na mawazo mbalimbali.

Nawasilisha.
Watanzania waliozaliwa nyuma ya 2002 hawakupata chanjo ya homa ya inj ambayo hupelekea kansa. Na maambukizi yake ni rahisi mno kupitia majimaji ya mwili kama vile mate, jasho au semeni na majimaji ya ukeni.
Ni vyema mtu akapate chanjo ya dozi tatu ili tusifike huku.
Mwisho, pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom