Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
744
Reaction score
578
Wanajf ninaomba mnisaidie kwa anayejua,namna ya kufungua mfuniko huu wa chemba inayotoka chooni!Choo kimejaa maji nataka nizibue.
MFUNIKO WA CHEMBA YA CHOO.jpg
MFUNIKO WA CHEMBA YA CHOO.jpg
 
kubali gharama vunja huo uchafu kanunue mifuniko kwenye duka la vifaa vya ujenzi
 
Pitisha bomba katikati ya hiyo handle kisha nyanyua upande mmoja huku upande wa pili ukiwa umekita chini
 
Hiyo hata Mimi nikishiba vizuri navuta shwaaaaaa. Nimekutana na mubaba mvivu Leo JF 🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom